Habari zenu wakuu naombeni anayeweza kunielekeza dawa ya kusafisha sofa za kitambaa .Nasikia kariakoo zipo Ila ndio sijui nikienda ntaulizia je na jina lake silijui,na he tuitumiaje. Ntashukuru kwa msaada wenu
Habari zenu wakuu naombeni Masada jinsi ya kui nstall Netflix kwenye simu yangu Aina ya Red mi 7 maana kila navyojaribu inatokea ujumbe your device isn't compatible with this version
Umemaliza USHAURI MZURI MIMI NILIAJIRIWA 2006 HATUKULIPWA MSHAHAR MIEZI 6 ILA TULIPATA MTU AKATUELEKEZA TWENDE KWA AFISA ELIMU TUKAWA TUNAKOPESHWA KILA MWEZ ANAKUKOPESHA NUSU YA MSHAHAR WAKO MPK TULIVYOLIPWA TUKAKATWA
Habari zenu wakuu,
Namshukuru Mungu mwezi January nilifanikiwa kujifungua salama baby Girl. Tatizo lilonileta kwenu baada ya miezi 3 nimeongezeka uzito kupita kawaida, uliopelekea kupata maumivu ya visigino nikisimama kwa muda na magoti nikichuchuma ulaji wangu ni WA kawaida Tu milo mitatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.