wanachama wa CCM, CHADEMA, ACT, pamoja na wanasiasa wote na vi
wanaCCM wote, CHADEMA, ACT, wanasiasa wote, viongozi wa dini zote, chungeni kauli zetu. soma kitabu hiki uone ndani namna gani kauli zilivyoponza wengi wakajikuta wanashitakiwa na mahakama za kimataifa. download it, na msome chote...
kwani kwa akili yako MAKONDA ni diplomat? na yeye kama mkuu wa mkoa ana jukumu lolote linalomlazimu kufanya kwa kusafiri nje ya nchi? yeye si anaishia dsm pekee?
tofautisha huyo na mtu kama foreign affairs minister, PM na wengine ambao kwa kazi yao wanalazimika kusafiri, wasiposafiri wananchi...
hapo panaweza kuwepo makosa ya crimes against humanity na genocide. download kitabu hiki kipo kwa kiswahili kueleza ICC na jinsi inavyoshughulikia mashitaka yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.