Recent content by Shepherd

  1. Shepherd

    Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kuhamia USA nikitaka, lakini mshahara ni ule ule popote nitakapoamua kufanyia kazi

    Hapa unatiwa moyo na kukatishwa tamaa kwa pamoja.Vyovyote vile wewe ndio mwenye uamuzi wa mwisho.
  2. Shepherd

    Kuna nini ndege za ATCL safari za ndani?

    Hali ya Hewa kivipi hili hali Precision na Flight Link na wenzao wapo huko hewani wakipambana na radi na mvua.
  3. Shepherd

    Biashara gani nifanye Comoro?

    Unavaa boya mwanzo to mwisho wa safari.
  4. Shepherd

    Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

    Ulikuwa 60 m baada ya miezi 6 una 5 m.Kumbuka tu fursa aiji mara mbili.
  5. Shepherd

    Tetesi: Freeman Aikael Mbowe kutunukiwa degree ya Udaktari wa Heshima( PhD)

    Hii Asali anayolamba awezi achia Uenyekiti ni tamu kweli kweli.
  6. Shepherd

    Wachezaji wa Taifa Stars baada ya kuambiwa Kocha Mkuu Adel hayuko tena wamefurahi na kuahidi kufanya kweli

    Hatupaswi kuwabeza tunapaswa kuja na suluhisho ya Changamoto walizozionyesha.Kwao kucheza Makundi ni hatua kubwa sana.
  7. Shepherd

    Niliyoyashuhudia Jeshini

    Itakuwa Kigoma au Dodoma
  8. Shepherd

    Wanawake na Mbwa wa kizungu mtuambie kazi yake

    Sijawai ona huyo mtoa mada ndio kasema na wanaume wanafuga hivyo vimbwa.
  9. Shepherd

    Wanawake na Mbwa wa kizungu mtuambie kazi yake

    Na wanaume wanavifuga kwa ajili ya nini?.
  10. Shepherd

    Wanawake na Mbwa wa kizungu mtuambie kazi yake

    Je aviwezi kuleta viral transimition from animal to human.Kweli kuna mengi tusio yajua.
Back
Top Bottom