Kama kuna mtu anahitaji mdada kwa ajili ya kupika katika mgahawa, hotel, Restaurant au cafe nitafute.
Napika chakula kitamu na chenye taste nzuri.
Uwe Mwanza au Dar.
Wazima nahitaji kazi ya upishi wa vyakula katika ofisi, restaurants au sehemu yoyote, nafahamu kupika vyakula mbalimbali vya kila aina na vyenye ladha nzuri sana.
Naweza kufanya kazi Dar au Dodoma atakayenihitaji
0716 394882
Mambo zenu.
Leo nataka tu-chitchat kiaina ingine kabisa.
Unachotakiwa kufanya ni kumpigia kura member yeyote wa KIUME humu Jf ambae anakuvutia kwa post zake, ushauri wake, swaga zake, ambush zake, mikato yake, vurugu zake, mawazo yake na kingine chochote kutoka kwake.
Mwisho wa siku yaani...
Habari tena kwa mara nyingine Ladies....Nyie ndo mnaoongoza kuumia mioyo inabidi tu msaidiwe kujua how Men are...kuna vitu vingine mwanaume hawezi kusema lakini moyoni vimeshapigiwa mstari kitambo..
Kwa wale ambao bado hamjazaa na hata wale ambao sasa ni wajawazito...Na wewe mwenye watoto au...
Naja kwa ID hii hii mpya mpaka kieleweke.
Mahusiano ni jambo jema sana, ila sasa kuna wale wa 'kuchonya', karibia ID zangu zote nakutana nawe PM halafu maneno yaleyale, hebu kuwa mbunifu kaka.
Kama unataka a one night stand muwe mnasema, mbona hakuna jipya nyuma ya keyboard? Matapeli ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.