soko la sanaa kwa bongo ni gumu sana, kifupi halirudishi pesa ya uwekezaji ila watu wenye uwezo wa kufanya kazi bora na kwa gharama kubwa wapo. Hizi movie za sasa waru wanasema wametumia 20M au zaidi ni uongo, wengi hawafikii hizo gharama ndio maana movie zao mbaya, hazina timu ya kutosha...
kwa maana hiyo chief... ni halali ku download movie yenye 7gb siku nzima?
maana natumia torrent hiz za kawaida tu... galaxy torrent nk..
movie ya 700mb inachukua kama nusu saa hivi na ni 720p kwa 1080p
Nilikia nadhani labda speed ni ndogo sana, nikawa natafuta namna ya kupata huduma kutoka...
ndugu yangu nilisubir hili jibu lakin nilichelewa mno.. sasa hiv nilipata kampuni flan wakanifanyia installation yao kwa 250k.....
tatizo naona speed ya kudownload ni ndogo...
nikishusha movie yenye 5gb inachukua siku nzima kumaliza
nilikua na mshikaji wangu huyo, yani akilewa tu hamlali anataka awasimulie jinsi rafiki yake aliuliwa.... usiku mzima ni stori na mtacheka sanaaaa hana vurugu kabisa...
ila kuna jamaa mmoja kitaa hapa yeye akishagongelea mvinyo kwa kichwa ni mwendo wa vifungu vya biblia na matusi juu...
kisayansi... hii nilisikia mahali wataalamu wakishusha nondo...
mwili huwa katika utayari na mambo mapya na hivyo kuachana na mambo inayoyajua ama iliyoyazoea. Vivyohivyo kwa pua, hua katika utayari wa kugundua harufu mpya na kuipuuzia ile iliyozoeleka ndio maana harufu yako mwenyewe huisikii...
naomba kupata utaratibu wa kupata hii home internet maana awali niliambiwa nilipie miezi miwili tu installation ni free kwa upande wa voda, lakini ghafla naambiwa tangu february mambo yamebadilika kuwa ni lazima ninunue router na nilipie installation fee. Gharama zimefika zaid ya 600k na baget...
wataalamu wa siasa za kikanda... embu nisaidieni kuelewa... ni nini hasa kilisababisha na kinaendelea kusababisha zanzibar isiwe mkoa na nchi ikawa moja completely?
nilitamani katiba mpya itamke wazi idadi ya vyama vya siasa nchini yaani iwe 3 tu au mbili. Hii ingesaidia kujenga vyama vyenye nguvu kitaasisi kuliko ilivyosasa ambapo vyama vingi vya upinzani vinajengwa kwa nguvu ya umaarufu ya mwanzilishi. Mfano bwana zubery baada ya msigano akaanzisha chama...
mawazo yangu binafsi juu
kwa fact.. tutasema ufanyebiashara kwanza ukuze kipato ndio uanze ujenzi.. nakukumbusha tu kuwa makini na biashara unayotaka kufanya maana biashara ni zaidi ya kuajiriwa pia ni zaidi ya maono (imaginations) uliyonayo. Unaweza waza juu ya biashara fulani ukaona kabisa...
huu ni udhaifu mkubwa sana kwa nafasi aliyonayo... kila siku mnakuja na vyanzo vipya vya mapato huku mkiwaumiza wananchi na mnajua fika walipa kodi ni wachache. Pambaneni kila mtu alioe kodi kikamilifu kama inavyotakiwa ili taifa zima likilia nafikir sera za kodi zitaboreshwa na hivyo kuweza...
huo uongo unatupa shaka juu ya zile taarifa zingine anazotoa. Kama hapa tumegundua kaongopea taifa (kwa mfano yani) sasa je zile taarifa za mikopo nafuu na madeni, tunahakika gani kweli ni mikopo nafuu?
Serikali haipaswi kutoa taarifa ya uongo kwa namna yeyote ile, je alikua anaficha nini...
mambo mengine na sisi wanaume tunayasababisha.. yaan mtu anamvisha pete mwanamke halafu anapiga goti.. sasa sijui anataka nini.. sisi mashemasi wa enzi na enzi tunajua pale ni sawa na kukubali kukaa chini ya mamlaka ya mwanamke.. ewe mwanamke kamwe usije ukakubali mwanaume akupigie magoti kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.