Recent content by shekinahpres

  1. shekinahpres

    Redio ya Upendo, nimewashangaa kwa hili

    Sasa ninyi mnachanganya mada. Je huyo mhubiri alikuwa ana-cite maandiko yoyote? Au alikuwa akirejelea usuri wa anachofundisha? Huwezi fundisha msamaha bila kumtaja Yesu. Vingine ni ushenzi mtupu!
  2. shekinahpres

    Idadi ya sayari zinazolizunguka Jua

    Labda mkuu badilisha mfumo wa swali kwa namna hii "je kuna sayari ngapi zinazolizunguka jua?"
  3. shekinahpres

    Kwa Hili kwa Mara ya Kwanza nakubaliana na Mzee wa Upako

    Kwa mzee wa Upako sina uhakika naye. Nahisi ni wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa na mgonjwa akafa!!!
  4. shekinahpres

    JKT au Chuo?

    Achana na jeshi kijana. Ina maana mpaka hapo ulipo ulikuwa bado huna ndoto? Pole sana. Ukupigiwa simu na TRA?Utaenda? Ukipigiwa sm na TANAPA utaenda? Kaa na ndoto zako ndo ufanikiwe. Tatzo wazaz hatuwalei watoto wetu kujua ndoto zao. Wanatangatanga tu. Mara jeshi, mara chuo, mara uraiani...
  5. shekinahpres

    Karibia 50% ya wakazi wa Dar es salaam wanaishi maisha yakubahatisha na kulazimisha sana

    Wewe ni wale wale. Unajuaje adha hizi? Yamkinika umeishi dar na ukafilisika. Mtu mwenye malengo Dar anafaidika sana sana. Fursa ni kama hizi 1. Vibarua kwa wingi 2. Ajira maofisini kibao kwa wenye elimu 3. Huduma za jamii. Mfn mahospital makubwa yote yako Dar. Mfn Mhimbili-ambapo pana mochwari...
  6. shekinahpres

    Ujenzi wa majengo ya chuma steel erection

    Hahaaaaaaaaa! Umenichekesha!
  7. shekinahpres

    Ujenzi wa majengo ya chuma steel erection

    Sasa mbona hajibu maswali wakati kajitakia
  8. shekinahpres

    Tumjue kiundani Nabii Michael Leshu

    Hakuna nabii siku hizi. Ujinga tu. Pia wamama changamkeni
  9. shekinahpres

    Karibia 50% ya wakazi wa Dar es salaam wanaishi maisha yakubahatisha na kulazimisha sana

    Wewe uko wapi kwanza? Dar kuna fursa nyingi sana. Nani kakwambia mtu atoke mjini aende kijijini
  10. shekinahpres

    Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

    Hapana. Labda alirushwa darasa. Alikuwa na akili saaaana. Hakusoma darasa la 4,5,6 na 7. Pia hakusoma miaka 4 bali 3 aliruka form 1 kwa sababu ya akili zake. Msione wiiiiivu. Intel
  11. shekinahpres

    Washarika wamkataa Sitta kanisani

    Hapana! Tusifike huko. Hata wewe unaweza kukosea kuhesabu kura popote pale. Mf. Kuna wakati hata kanisani tunakosea kuhesabu kura kwa sababu ya kujichanganya. Sasa ukimlaumu Sita ni tatizo lako ndg.
  12. shekinahpres

    Taarifa kwa Vyombo vya habari kutoka IKULU juu ya Katiba Mpya

    Katiba hii inakithi viwango kabisa. Sema watu huwa hawaridhiki tu. Lakini katika hali halisi katiba tuipigieni kura ya ndiyo
Back
Top Bottom