sio wewe mwenyewe kweli??
Mods, mtumieni huyu jamaa invoice kwa hili tangazo lake.
We jamaa mbona una tabia ya kudivert mada na kumbandika uhusika mtoa post??? nimekuona sana kwenye post kadhaa, comment zako ni zilezile "sio ww mwenyewe kweli". Una tatizo la kryptachronicunnalitcy.
Nyakati za mwisho imetabiriwa kutakuwa na manabii wengi wa uongo, kazi kwako
Haha mie hata sijui bali lakini nasikia yeye akiangalia picha tu anakusoma fasta ..... mhhhhh wamama wengi mjini ndo wafuasi wake
View attachment 194155:target:Jamani waungwana mtujuze kivizuri kuhusu huyu nabii Michael Leshu mwenye kanisa kimara ndani ndani linaloitwa maranatha paraclate.... Inavyosemekani ni NABII anayeweza kutibu mapepo na kuondoa laana katika familia, pia anatabiri maisha yako na wale wachawi wot... hiii ni ukweli??? Kama mtu anajua chochote kuhusu yeye atiririke hapa. Asanteni