Mtoto hagombewi, endelea na maisha yako tu kama ni wako na Mungu kawajalia maisha atakutafuta tu, damu ni nzito.
Pili usikashifu wanawake kwa zinaa zako binafsi, pengine ungepata wasaa ukakaa na mama yako nae angekuambia kuwa huyo baba anakulea tu wewe sio mwanae wa damu! Baba yako yuko Lindi...
Anza kumuhonga mkeo mrushie pesa kila Mara, na mkishasex nenda Mwenge wallet MPE, mtoe lunch au dinner out huko mnakokwenda na mcheps, w.end hameni home mkadunguane hotelini, acha kumuita mama Fulani, muite jina lake au la kimapenzi kama unalomuita mcheps wako, uone kama atakupa kwa masharti...
Yaan pole....mi hayo usiyoyapenda ndo nayazimia kinyamaaaaa....kundindindi kimya kimya sitaki, mwanaume ukiwa Kimya ntakufanya uongee tu...kuongeleshana nako kunasaidia kuhamisha akili toka kwenye stress zako huko na kufocus na kubwedana[emoji39] [emoji39]
Kweli amejikubali kuwa anauvundo, mi napendaaaaaa tena hata dudu ikitoka huko kuchokora napenda niinyonye tena halafu ikaendelee tena, yaani am very comfortable na naenjoy hasa[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Weka sayansi yako hapa sijaona fact yoyote ya kisayansi uliyoiandika, Hata bila kumtaja jina umemvua nguo na huna adabu kwa mkeo, thats it!
Kama uliijua hyo sayansi yako na hukutaka mzembe kitandani ulimuolea nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.