Recent content by Sheeba

  1. S

    Nafasi ya kazi kwa walimu wa hesabu

    Tunahitaji walimu wa hesabu kuanzia form 1 hadi 6. Kazi inafanyika online na utapewa test kabla ya kuanza. Kwa mwenye uhitaji tuma email: rubysinc2012@gmail.com
  2. S

    Msaada WordPress, nimekwama

    Maelezo zaidi umekwama wapi, if possible onyesha ulipofikia.
  3. S

    Java Programming Guides for beginners

    Hizo variable mbili zimetumika wapi? Kwenye form?
  4. S

    Java Programming Guides for beginners

    inatumika jumlisha but hakikisha zote ni namba. + kwenye javascript ina kazi mbili, ya kwanza ni addition, ya pili ni string concatenation. Hivyo ukitumia namba na +, zitajumlishwa, ila ukitumia strings, au ukichanganya namba na strings, zitafanyiwa concatenation
  5. S

    Online forms

    Hauhitaji app kwa ajili hiyo, hizo files za kwenye simu ziweke kwenye server yenye website. Baada ya hiyo utaweka link tu
  6. S

    MWONGOZO TAFADHALI: N COMPUTING HAIWASHI MONITORS ZOTE KASORO SERVER TU

    Hizo nyingine ukiwasha zinaonyesha nini? Any error messages? Ni ncomputing ipi kuna L series, X Series,...
  7. S

    Msaada wa software

    Nna system ya shule ina mambo mengi pamoja na Hiyo results analysis. Nicheki PM for more information
  8. S

    Msaada: Wataalam wa kutengeneza APP

    App ya nini? Ukitoa maelezo zaidi utapata majibu kwa haraka zaidi
  9. S

    Kwa Wataalam Wa Saikolojia Msaidieni Ndugu Yangu Kabla Hajaangamia

    Mara nyingi depression hutokea kwa mtu aliyepitia abuse-physical, sexual or emotional (si lazima papo kwa hapo inaweza kuchukua muda). Pia wengine wakifiwa wanapata depression. Na matukio mengineyo yanaweza kusababisha
  10. S

    Kwa Wataalam Wa Saikolojia Msaidieni Ndugu Yangu Kabla Hajaangamia

    Hizo ni symptoms za depression. Kukosa raha ya maisha, Kukosa matumaini (kama hiyo ya kutaka kujiua), wakati mwingine unashindwa kulala n.k. Ni ugonjwa kabisa, ingawa wabongo huchukulia poa.
  11. S

    Kwa Wataalam Wa Saikolojia Msaidieni Ndugu Yangu Kabla Hajaangamia

    Inawezekana anaumwa depression. Yupoje physically? Huwa anachoka bila sababu au mwili una nguvu?
  12. S

    Tatizo la ads

    Itakuwa una malware kwenye computer. Download malware removal application zipo nyingi for free
  13. S

    Msaada: blog/site yangu imekuwa suspended

    Unatumia paid hosting? If yes waulize inawezekana umechelewa kulipa
  14. S

    Vyuo vya computer Science kwa elimu ya form four

    Unaweza kuanzia certificate in ICT kwenye vyuo vya NACTE kama UCC na vingine. From there utaenda diploma and so forth
Back
Top Bottom