Java Programming Guides for beginners

mhshemdoe

JF-Expert Member
Feb 1, 2017
363
531
Hello Coders!

Nahitaji kuanza mafunzo ya Java Programming (self study) huku lengo kuu likiwa ni kujikita zaidi katika upande wa Mobile Apps development.

Naomba Suggestions zenu, hasa za vitabu vya Core java maana sihitaji kuingia moja kwa moja kusoma lugha yote bali ni kupata basics nzuri za Java.

Malengo yangu ya usomaji
Kwa research ndogo niliyoifanya nimeona nianze na:
1. Kujifunza kwanza basics za java: Hapa nina mda wa wiki mbili

2.Kusoma Topics za Java zihusianazo na Apps dvt. hasa Androids: Hapa pia nitahitaji suggestions zenu. Nitatenga mda wa Mwezi mmoja kwa hizi Topic.

3. Kujifunza (theoretical and practical) Android Apps development: Hapa hata mda wa zaidi ya mwaka nitautumia.

PIA:
•Nina knowledge ya C (Semester moja chuo)
•Basic knowledge ya Python (self study)
•HTML na CSS (self study)

Msaada Kutoka kwenu
1. Mapendekezo yenu ya vitabu (E-books) kwa level yangu kama jinsi nilivyojielezea. ViBase kwenye Core Java

2. Mapendekezo yenu ya Topics za Java zihusianazo na Apps development.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
head first java-2005
hichi kitabu ni kizuri kwa beginner,,kina mifano mizuri ya kuchekesha na kufurahisha,,
ila sometimes kwa professional mifano unaweza kuiona ni too childlish,,,(i recommend for beginner in programing)


y daniel liang introduction to java 2017
hiki ni the best book,kwa mtu ambaye yupo nondo kwenye language nyingine ,i recommend this book over,
pia ni cha 2017 so kina many update mpya za java ,,

therefore kama wewe ni beginner nenda kasome Head first java,core idea za programming zimeelezewa kiundani,na kirahisi zaidi.....
 
BOB OS, Thanks Mkuu, hiki nimekiDownload leo nimekipitia tu ila bado sijaanza kukisoma, nimekutana na maoni ya wadau wakisema kiko outdated sana hivyo nikakiweka Karantini kwanza ili nipate mapendekezo zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thanks Mkuu, hiki nimekiDownload leo nimekipitia tu ila bado sijaanza kukisoma, nimekutana na maoni ya wadau wakisema kiko outdated sana hivyo nikakiweka Karantini kwanza ili nipate mapendekezo zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Yah kipo outdated ila concept ni zile zile tu,
chukua hicho cha Daniel Yang Introduction to java and algorithm cha 2017,kipo vizuri
 
Wakubwa msaada kidogo,
Naomba kujua namna ya kujumlisha data types mbili kwenye JavaScript ,nikitumia alama ya jumlisha inagoma.

Yani ;
Var cal= cw+ue;
Nataka ije sum natumia alama gani?
 
Wakubwa msaada kidogo,
Naomba kujua namna ya kujumlisha data types mbili kwenye JavaScript ,nikitumia alama ya jumlisha inagoma.

Yani ;
Var cal= cw+ue;
Nataka ije sum natumia alama gani?
inatumika jumlisha but hakikisha zote ni namba.
+ kwenye javascript ina kazi mbili, ya kwanza ni addition, ya pili ni string concatenation.
Hivyo ukitumia namba na +, zitajumlishwa, ila ukitumia strings, au ukichanganya namba na strings, zitafanyiwa concatenation
 
inatumika jumlisha but hakikisha zote ni namba.
+ kwenye javascript ina kazi mbili, ya kwanza ni addition, ya pili ni string concatenation.
Hivyo ukitumia namba na +, zitajumlishwa, ila ukitumia strings, au ukichanganya namba na strings, zitafanyiwa concatenation

Kwa mfano,
Function (){
var cw=document.getElementbyId('f1').value;
var ue=document.getElementbyId('g1').value;
var ans=cw+ue;
}
Hizo cw na ue id zake zimebeba namba sio string lakini nikijaribu Ku sum jibu linakuwa concatenated.
Nifanyeje kumbuka hizo variable mbili zimebeba namba sio string.
 
Kwa mfano,
Function (){
var cw=document.getElementbyId('f1').value;
var ue=document.getElementbyId('g1').value;
var ans=cw+ue;
}
Hizo cw na ue id zake zimebeba namba sio string lakini nikijaribu Ku sum jibu linakuwa concatenated.
Nifanyeje kumbuka hizo variable mbili zimebeba namba sio string.
Hizo variable mbili zimetumika wapi? Kwenye form?
 
With my 3 years in android development I do not advise you to start learning java if your target is android dev. Just to help u, start with this outline below.
1)Learn basics of android OS (3 days)
Here cover android OS structure in brief, get little bit of its history(to make your learning funny), understand basic technical terms in android, understand android app's life-cycle and lastly you may ignore all the technical terms at the beginning but dont ignore these 3 (activity, intent and "onCreate" method)


2)Explore android ides and learn how to use the IDE of your choice then write "hello world app"(make sure it runs and u understand what does what in your codes, <very few codes in deed>)

3)Now you can learn java on the go while coding other apps.


If you directly start with java while your main target is Android dev am afraid that u'll get KNOWLEDGE BULIMIA
 
Back
Top Bottom