Recent content by shedudu

  1. shedudu

    Namna ya kuzungumza na majini na viumbe wengine katika ulimwengu wa pepo

    Kaka kwanini unadhani sio halisi ulimwengu usiionekana?
  2. shedudu

    Haunted houses zipo, chukua hatua

    pole sana mkuuu wengi wenye nyumba wanajua mabalaa yao[emoji23][emoji23] Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
  3. shedudu

    Natafuta nyumba ya kulinda Arusha hata kama ina mauzauza

    Nina crown Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
  4. shedudu

    Natafuta nyumba ya kulinda Arusha hata kama ina mauzauza

    ngoja tuone Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
  5. shedudu

    Natafuta nyumba ya kulinda Arusha hata kama ina mauzauza

    shida ni kuwa staki kuuza gari ndo maana Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
  6. shedudu

    Natafuta nyumba ya kulinda Arusha hata kama ina mauzauza

    mimi ni kijana umri miaka 29 ni mchaga wa marangu nilikuwa mfanya-biashara mwanza nikafilisika now Sina kitu tena, na sijasoma nimeishia form 6 nilikuwa na maisha mazuri kiasi kiufupi nilijipata hadi gari nilinunua crown na ndo nililobaki nalo naomba wapwa connection ya nyumba ya kukaa now...
  7. shedudu

    Natafuta nyumba ya kulinda Arusha hata kama ina mauzauza

    Wapendwa habari aiseee mimi ni kijana wa miaka 29 nilikuwa mfanyakazi mwanza biashara ikaenda mrama mwezi wa pili mwaka huu. Nilikuwa na hela safi za kujikimu lakini kila kitu kimeenda kombo, nimefilisika, now nimekuja Arusha nina week ya 2 sasa japo nimefikia kwa mtu naomba msaada wa hata...
  8. shedudu

    Haunted houses zipo, chukua hatua

    jamani msaada hounted house arusha Sina kodi niwe hata Nina ilinda tu, hata miezi 6 najitafuta wazeeee nilikuwa na fedha now nimeshuka sana Sina kitu kabisa mimi huwa hazinisumbui kabisa hizo mauza uza
  9. shedudu

    Haunted houses zipo, chukua hatua

    ndugu natafuta hounted house arusha town nikae bure au bei kitonga sana Sina hela aiseee mie huwa hazinisumbui kabisa naomba msaada
  10. shedudu

    Natafuta nyumba ya kulinda Arusha hata kama ina mauzauza

    Habari wapendwa, mie ni kijana wa miaka 29 nilikuwa na fedha vizuri kabisa but nikafukuzwa kazi for now Sina ishu na nilikuwa naishi Mwanza but for now niko Arusha nina week mbili tena nimefikia kwa ndugu. Nilikuwa na fedha nyingi sana but kwa sasa kitu ambacho nimebaki nacho ni gari brevis tu...
  11. shedudu

    Iliwezekanaje safina ya Nuhu kubeba aina 7.7 million za wanyama?

    Shida iko hivi watu tunataka kutumia mantiki kujibu mambo ambayo mantiki kamwe haiwezi kujibu, maana yako juu zaidi ya mantiki, maana mantiki iko very limited maana iko na ukomo so ni swali la kipuuzi tu kama lina nia ya kukana kila ambacho kinaenda tofauti na mantiki
  12. shedudu

    Mbona siwaoni waoaji mwe!

    Waoaji nao wanataka kuolewa
  13. shedudu

    Dhambi isiyokuwa na msamaha( unforgiven sin)

    Kumkufuru Roho mtakatifu ni nini? Kumkufuru ni kitendo cha kutukana kwa kujua, kukejeli kwa kujua na kupotosha kwa makusudi kwa mlengo wako chochote kibaya kuhusu utendaji wa ROHO MTAKATIFU Pia ifahamike kuwa roho mtakatifu sio kitu ni nafsi hai (personality) kamili Kwa mujibu wa biblia ni...
Back
Top Bottom