Recent content by Shedii

  1. Shedii

    Msaada jinsi ya kuweka rangi kwenye post

    mbona ni huku tu inakubali kwingine aikubali
  2. Shedii

    Msaada jinsi ya kuweka rangi kwenye post

    [Color= red]Yalini
  3. Shedii

    GE2025 Ili kuiaibisha Serikali, Polisi na Mahakama, watuhumiwa wote wa Uhaini wakiri makosa yao

    Wangetamani sana kuwateka na kuwaua ni vile tu watu walipiga kelele dunia nzima ikaona kinachoendelea Tanganyika wakaona aibu wakaona basi ngoja tuwape kesi kubwa kubwa ila isingekua zile kelele ungesikia tu wametekwa aw ajulikani walipo na ndo una kua forever
  4. Shedii

    Polisi: Tunachunguza sakata la Dada yake Polepole

    Bora wangekaa kimya tu
  5. Shedii

    GE2025 Polepole: Mchakato wa CCM kumpitisha Samia kuwa Mgombea Urais 2025 haukuwa halali

    Mama Alishatuonyesha pale kwa mwamposa kua bossi wake ni yupi
  6. Shedii

    Katika hizi kauli 3 kila mtu achague ya ukweli ni ipi kwangu ni 3.

    Kuchukua tufungu kimoja kwenye Bibilia na kusepa nacho sio sawa mkuu utapotea vibaya mno
  7. Shedii

    Kitanda na rangi za chumba nilichoandaliwa ukweni kimenisononesha sana

    Unalalaje ukweni always tengeneza mazingira ya kutokulala ukweni
  8. Shedii

    Muhimbili: Eng Matala avamiwa na kuchinjwa. Aponea chupuchupu

    Data ni kutembea tu na chamoto yani ni hapo kwa apo
  9. Shedii

    Aliyemtishia Nape Bastola ni kati ya waliohukumiwa kunyongwa kwenye kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini. Je, kuna lililojificha?

    Kwanza mnamteteaje Nape mwenyewe ana mambo meusi mengi tu watajuana wenyewe hivi alafu kitenge ni nani mnauhakika ayupo kwenye system meana kah anacodence na ye ye alivyomtoa huyo jamaa apo
  10. Shedii

    Naombeni ushauri; Nimetuhumiwa kesi ya wizi wa ng'ombe na bosi wangu japo alipotea

    Acha kesi iende mahakamani tu mahakama ndo itaamua kwanza ushahidi wa wewe kuiba unaeza usijitosheleze Ila unaeza patikana na hatia ya uzembe na ata kama utalipa sio iyo million tatu
  11. Shedii

    Kama Mungu hayupo, maisha yana maana gani? Na kama yupo, kwanini Dunia inateseka hivi?

    Magonjwa mateso umaskini yote hayo ni matokeo ya dhambi na Mungu ana ushirika na dhambi
  12. Shedii

    Chadema inapoomba kushiriki uchaguzi, huku ikiendeleza kampeni yake ya N. R. N. E, Tuielewaje?

    Salsa na wao wanashiriki uchaguzi wa nini wakati wanajua kabisa sio wa huru na haki wala auna uwazi wakishindwa itakuaje si bora waeendelee kupambani reforms
  13. Shedii

    Ujasusi: Ni lazima uwaze mbele ya wakati

    Kwani gwajima anashtakiwa kwa kosa gani hasa
  14. Shedii

    Tamko rasmi la mashabiki na wadau wa mpira wa miguu Tanzania

    Singing black stars ipi iyo imefutwa
Back
Top Bottom