Recent content by sheddysm

  1. S

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kwa unyenyekevu mkubwa nawashukuru Wizara kwa kutoa ajira kwa vijana wenu,vijana wameripot katika vituo vyao vizur kabisa cha kushangaza tangu walipoti had sasa hawajapata hela za kujikimu na mshahara pia hawajapata.
  2. S

    MSAADA: Nimeitwa kazini huku nikiwa najiendeleza kusoma

    Niliomba ajira kwa ngazi ya cheti na nimepata. Naombeni Msaada nifanyeje wakati kwa sasa niliingia chuo na kujiendeleza kwa ngazi ya Diploma ya Maabara na mwezi ujao natarajia kumaliza.
  3. S

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Habarini za leo?napata changamoto katika Application..... nimejaza taarifa lakn inakuja "no data found" msaada plz
  4. S

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Habarin za leo?naombeni msaaada mwenye kuju tatizo hili.... baada ya kujaza taarifa katika aplication inasema "no data found"....... Je ni nini hapa?
  5. S

    Wanafunzi waliochaguliwa awamu ya pili 2017....

    Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi awamu ya pili mwaka mwaka 2017 pamoja na fomu za kujiunga na shule (joining instructions) inapatikana kwenye tovuti ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI ya www.tamisemi.go.tz Maswali:- 1. mbona nikiangalia hiyo link ya...
  6. S

    Lini wanafunzi watapangiwa kidato cha tano awamu ya pili (ii) - 2017

    Asante sana ndugu. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. S

    Lini wanafunzi watapangiwa kidato cha tano awamu ya pili (ii) - 2017

    Wanajamii habari za asubuhi?naombeni kuuliza,hivi wadogo/watoto wetu waliomaliza kidato cha nne na majina yao kutoka kua watachaguliwa KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2017,Je,watachaguliwa/kupangiwa shule lini? Naomben msaada ndugu zangu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. S

    Je? Waliomaliza stashahada wanapatiwa mkopo

    Hawapati mkopo wenye stashahada Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
  9. S

    Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    R.I.P Mchungaji
  10. S

    Chuo Kikuu Dodoma, waliodahiliwa shahada ya kwanza 2014/15

    What is the difference between measurement&educational measurement.
  11. S

    Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    Wanafunz waliomaliza kidato cha nne na kupangiwa diploma chuo cha Udom na wao wapatiwa mkopo?
  12. S

    Diploma UDOM wanaripoti lini?

    Ndugu na jamaa waliomaliza form four mwaka jana na wakachaguliwa ualimu UDOM wanaripoti lini?
Back
Top Bottom