Francisco kidevu
New Member
- Sep 10, 2021
- 2
- 0
Sure kabisa anIvi changamoto za dawa katika vituo vyetu vya afya itaishia lini an hii Hali imekua usumbufu sure
Sure kabisa anIvi changamoto za dawa katika vituo vyetu vya afya itaishia lini an hii Hali imekua usumbufu sure
KweliIvi changamoto za dawa katika vituo vyetu vya afya itaishia lini an hii Hali imekua usumbufu sure
Umeona eehKweli
Vv aMkiweza futeni gharama ya kupima covid wakati hiyo chanjo ni bure hiyo rapid test mbona Nchi zingine bure tuu kama Botswana hapo tupunguzieni gharama wasafiri...na ukiingia Tanzania lazima ulipie na kupima wakati Nchi nyingi kama mtu katoka kapima na masaa bado yanasoma unapita tuu hapa shida nini au ndio mnakusanya mapato kupitia wagonjwa...
Huu Muongozoo(Program) ya Kujitolea ambao meutoa Kwa wataalum wa afya Utekelezaji Wake Utakuwa Lini ?Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Barua pepe mawasiliano@afya.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfya
View attachment 1588107
I seeVv a
Kabla haujawasumbua Wizara ya Afya. Nitafute kwa mazungumzo ya kina juu ya suala lako hili.Nataka kuzaa sina mwanaume kuna sperm bank hapa tz??
Hakuna mwaka bajeti Tz ikajitosheleza..hua ni njanja janja tu kuwaongopea watz...ilihali ukweli unajulikana.Kuzidi kwa tatizo la ukosefu wa dawa katika vituo vya kutolea huduma za afya vya serikali (zahanati/vituo vya afya/hospitali) ni wazi kwamba bajeti inayotengengwa kwa ajili hiyo haiendani na upatikanaji wa dawa katika vituo hivyo. Je bajeti hiyo ni halisia au vinginevyo !?.....Ukizingatia bajeti hiyo kusemekana kuongezwa kutoka Bilioni 31-275 (787%).