PEPMIS PEPMIS PEPMIS PEPMIS PEPMIS PEPMIS
📢 UFAFANUZI MUHIMU: “VACANCY IS NOT BUDGETED” KATIKA MFUMO WA ESS
Ndugu mtumishi,
Kumekuwa na maswali mengi kuhusu ujumbe huu unaojitokeza kwenye mfumo wa ESS wakati wa kuomba uhamisho:
❗ “Vacancy is not budgeted”
Wengi wanauliza:
“Kama tayari nalipwa...
Habari za mchana wakuu nina shida na wanafunzi waliomaliza SHULE YA SEKONDARI AMANA ISLAMIC iliyopo MTWARA MJINI
nawatafuta wanafunzi tuliohitimu kidato cha sita mwaka 2017
Nawaomba kama wapo humu
JANUARY CHIUMBI
JAMILA LUKANGA
SHAIBU HAMIS
AMID
KARIMU
0791823730
0623789944
Habari za kazi wakuu natafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi
Kutoka mkoa wa songwe wilaya ya momba
Kwenda mkoa wowote kati ya hii
LINDI
MTWARA
RUVUMA
Mawasiliano 0791823730
Yapata mwaka mmoja tangu niweke uzi wangu leo nakuja na huu uzi aisee tanzania hii (bongo) ukitaka kupiga hela za bure unapiga vizuri tu jamii kubwa za watanzania wanateswa sana na umaskini na mapenzi
Niliwahi kufungua kilinge cha uganga wa kienyeji aisee nilipiga sana chenji wakuu
Aisee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.