Yapata mwaka mmoja tangu niweke uzi wangu leo nakuja na huu uzi aisee tanzania hii (bongo) ukitaka kupiga hela za bure unapiga vizuri tu jamii kubwa za watanzania wanateswa sana na umaskini na mapenzi
Niliwahi kufungua kilinge cha uganga wa kienyeji aisee nilipiga sana chenji wakuu
Aisee...
Boss nipo halmashaur X
Ila tulipambana kupata pesa zetu za kujikim Ila mungu amesaidia tumepata pesa zetu
Ni ajira mpya June 2023
Nawasilisha
Pesa ya mwaka huu imenyooka
Kwa sababu muongoz ulitoka serikali kuu
Japo picha haionekani vizuri
1.Kwanza kabisa beba documents zote ulizoambiwa kubeba
2.muhimu uwahi mapema kuripoti
Hii itakusaidia Kama umeripoti kabla ya tareh 15 unawez kupata mshahar wa mwezi huo ulioripoti
3.kajaze mikataba yote
4.jiandae kurudi nyumban baada ya kuripot
Ko utarud kuripoti kazini baada ya kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.