Recent content by SHAZ96

  1. S

    UKIAMUA INAWEZEKANA

    Mkuu umejuaje na hiki kipindi cha uchaguzi nataka nipige hela sana mkuu aisee kama nilimponesha mtu stroke aisee
  2. S

    UKIAMUA INAWEZEKANA

    Nyumba hii hapa
  3. S

    UKIAMUA INAWEZEKANA

    Mkuu sio mimi ni wao walikuwa wanakuja na case za utajiri na mapenzi
  4. S

    UKIAMUA INAWEZEKANA

    Yapata mwaka mmoja tangu niweke uzi wangu leo nakuja na huu uzi aisee tanzania hii (bongo) ukitaka kupiga hela za bure unapiga vizuri tu jamii kubwa za watanzania wanateswa sana na umaskini na mapenzi Niliwahi kufungua kilinge cha uganga wa kienyeji aisee nilipiga sana chenji wakuu Aisee...
  5. S

    Mechi wanazoshiriki Simba na Yanga, zichezeshwa na waamuzi kutoka nje ya nchi

    HAKIKA WAZO LAKO LIMEFANYIWA KAZI MKUU
  6. S

    Vyuo vinavyotoa bachelor of health system management

    Hapana nipo tayari kwenye system
  7. S

    Vyuo vinavyotoa bachelor of health system management

    Saaana Kaka Nataka kukimbia kutibu watu
  8. S

    Vyuo vinavyotoa bachelor of health system management

    Sasa boss Ni hivi Form six nilipata HISTORY -E GEOGRAPHY -D LANGUAGE -D ILA NIKO KAZINI KAMA TABIBU NIMESOMA DIPLOMA
  9. S

    Jinsi ya Kuripoti kituo cha kazi mwaka 2023

    Boss nipo halmashaur X Ila tulipambana kupata pesa zetu za kujikim Ila mungu amesaidia tumepata pesa zetu Ni ajira mpya June 2023 Nawasilisha Pesa ya mwaka huu imenyooka Kwa sababu muongoz ulitoka serikali kuu Japo picha haionekani vizuri
  10. S

    Jinsi ya Kuripoti kituo cha kazi mwaka 2023

    1.Kwanza kabisa beba documents zote ulizoambiwa kubeba 2.muhimu uwahi mapema kuripoti Hii itakusaidia Kama umeripoti kabla ya tareh 15 unawez kupata mshahar wa mwezi huo ulioripoti 3.kajaze mikataba yote 4.jiandae kurudi nyumban baada ya kuripot Ko utarud kuripoti kazini baada ya kuona...
  11. S

    Vyuo vinavyotoa bachelor of health system management

    Habari zenu wakuu naomba msaada kujua vyuo vinavyotoa course ya bachelor of health system Management Ada zake kwa private Na Ada zake kwa government
  12. S

    Tetesi: CCM inataka Dotto Biteko awe Mgombea Mwenza kwa Samia 2025

    Mwiko huo dotto awe mgombea urais hapanaa Napinga hili
  13. S

    Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

    Aisee Ni noma Sana Tunduma Ni town Sana Vitu Bei chee Sana Tena Sana
Back
Top Bottom