Sasa boss Ni hiviTafuta mzumbe. Ada sikumbuki ila kwenye kitabu cha tcu utapata.
Sasa boss Ni hivi
Form six nilipata
HISTORY -E
GEOGRAPHY -D
LANGUAGE -D
ILA NIKO KAZINI KAMA TABIBU
NIMESOMA DIPLOMA
Saaana KakaUnataka kuwa katibu wa afya,umechoka kupambana na wagonjwa
Hapana nipo tayari kwenye systemHiyo kozi usisome, utasota mtaani
Tabibu kwa masomo hayo ya 'Arts'?Sasa boss Ni hivi
Form six nilipata
HISTORY -E
GEOGRAPHY -D
LANGUAGE -D
ILA NIKO KAZINI KAMA TABIBU
NIMESOMA DIPLOMA