Wakuu Inasemekana kuwa div 1 had 3 ndio watakaojiunga na vyuo vya ualimu, je kama me nina Div 3 ya 31 na combi imebalance, nitachaguliwa kujiunga na kidato cha tano au ualimu? Na kama ni ualimu nitachaguliwa moja kwa moja au mpaka nitume maombi? Msaada wako tafadhali
=mpigamsuli;8844502]HGK ya kijinga soma HGL ndo nzuri, HGK Ndiyo comb. iliyo balance so sina budi kuisoma kwani nyingine zimekataa, wala hata cjilaum sana kwani siyo sawa na comb. kutobalance kabasa, BUT also if u like HGL a' m like HGK, kwani mwanamke niliye mpenda mm yawezekana kwa mwingine ni...
Perry;8827397]We dume zima utasomaje kombi ya kike hiyo? Serikali haikupanga combination ya kike wala ya kiume hizo ni fikra duni fikra hizo ndizo zinazosababisha wavulana wengi kufeli kutoka na kukomaa na sayansi wakati hawawezi eti arts ni ya kike, kaka funguka akili achana fikra zako, haya me...
Kwa wale waliopitia A-LEVEL in govermet or hata kama ni private lakini anafaham plz naombeni m2juze ili 2weze ku focus 2taanzia wp? Maana weng we2 2natoka katika familia za kipato cha chin so 2kifaham 2natweza kujipanga kabla kuliko kusubiri kutangziwa na wahusika wa shule hizo kwani muda...
Kwa matokeo haya wanaweza kenda A-Level; History C, Geography C, Kiswahili B, English D, Biology D, Agriculture D, Civics D, Maths F, Chem E, ambayo ni div III ya 31 mbona me namashaka?
Nomino mwanaume limeundwa kwa kuunganisha nomino mbili tofauti MWANA pamoja na UME, hivyo neno MWANA linamaana ya MTOTO na UME limetokana na UUME (ubo**) hivyo MWANAUME linamaana ya MTOTO mwenye UUME haijalishi rika bali kinachaangaliwa ni UUME. Mwanamke akifanya kazi nzito huambiwa we ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.