Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

mi nimekuliaga muromboooo tarakea
jiswahili ndo nalijua kidogo
lijiinglish sijalisomeaga!!
 
nakutaka we uliye kuliya kwa murombooo unasifa kuliko wote love 2 u baby nadhani we mtamu sana mwaaaah
 
Unaufehemu mtandao unaoitwa Badooo ingia huko kajichagulie ni kama wako gulioni kila shepu kila size kila aina utapata
 
Washawasha hii ratiba yako ni kiboko, kila siku unalog in the same time hahahaha
_____________________________

nimeupenda ushauri wako, lakini mbona we unatumia kingereza "nalog off"?
mida hiyo ndio huwa niko huru kiongozi.Hiko ni kiswahili huoni neno *NA*neno lolote la kiingereza ukiliunganisha na neno la kiswahili basi hubadilika na kuwa kiswahili.
Nalog off
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom