Recent content by Sharp

  1. S

    Agiza kitu chochote toka Ujerumani kisichozidi kg 20

    Mkuu shukurani, mzigo nimeupata kamili kama nilivyoona na kuagiza.
  2. S

    Nyama ya NYANI

    Mbona Kigoma na Congo ni chakula cha kawaida tu. Kama kwako haifai wenzako wala.
  3. S

    Totoz za bongo aisee.

    Mvuto ni maumbile siyo sura, hii hapa fine.
  4. S

    Nimepata kazi mpya /mshahara umedabo nabadilisha mchumba

    Kama focus ni pesa au kipato tafuta mchumba mwingine lakini kama ni penzi basi fikiria upya.
  5. S

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Una tatizo la panic ambayo inaleta hofu na kufanya uwe mwoga. Katika hali kama hii ni vigumu mzunguko wa damu kuelekea kwenye ume wako kustabilize kwa sababu adrenaline inakuwa inatibua. Jenga mazoea ya kucheza na jamaa yako kwa muda mrefu ukiwa katika hali yako ya kawaida (bila kuvua nguo) ili...
  6. S

    Shule yenye darasa la re-sitters kwa ajili ya form four

    Na kwa upande wa mikoani ni wapi naweza kupata shule za kuresit form four au kumpokea kwa ajili ya A level mwanafunzi mwenye div IV ambaye combination inakubali masomo mawili KL kwa pass za DC? Msaada tafadhali.
  7. S

    Nisaidieni Wajameni Nahitaji Past Exam za NBAA (CPA)-Final Stage (Questions and Answers)kwenye Net

    Brothers and Sisters, naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia CPA study materials za module B na module C tuwasialiane. Hata kama naweza kupata kwa kununua bado ni poa sana. Email yangu ni sharp_sana@yahoo.com
  8. S

    Hello

    Mambo?
Back
Top Bottom