Mzee usiogope ni tatizo dogo. Naomba ufanye yafuatayo!
Kama una gari, pumzika kuendesha maana kichwa chako hakiko sawa
Mtafute rafiki yako wa karibu ila msiri, wa kupiga naye story, akupunguzie mawazo, hapa simaanisho demu.
Kama una vipesa kidogo, ondoka hapo nyumbani wala usiage, kakae japo...