Recent content by sharopastor

  1. S

    Picha: Wasanii wa UKAWA wakiwa katika shughuli mbalimbali za kijamii Tanga

    ebu acheni mzaha wenu wakuu,hivi bob junior anajielewa kuanzia lini? let us be serious guys
  2. S

    Kunguni wawili aliowataja Magufuli Kilindi ni nani hao??

    sasa hao wafanyakazi wake mimi nitawapata wapi? acheni kutuchosha kishamba shamba hivi
  3. S

    Mahojiano na BBC: Huyu Dokta wa Muhimbili ni Bingwa kweli?

    uelewa wako ni duni sana, ili suala la nyoka wengi hawana sumu ni jambo la kubishana kweli? ina maana tupo watu wachache sana tunajua kwamba ni species chache sana za nyoka ndo poisonous compared na majority.?? kuna jamaa mpaka leo anaamini kuwa chatu nae ana sumu afu huyo jamaa ana elimu ya...
  4. S

    Waraka wa wazi kwa Prof. Ibrahim Lipumba

    kwani yeye ni nani,maamuzi yake magum,atayajutia,ni kusonga mbele,ajitambue yy alikua kikwazo
  5. S

    Rose Muhando: Nafikiria kurudi kwenye Uislamu

    ameichumaa,alikua kibiarshara zaidi,aondoke akanengue kwenye madanguro,aibu tu madhabahuni safari njema
  6. S

    Saidi Ntimizi ndani kwa mauaji ya Annah Mizighi Mwambili

    ni kweli wanaume wengine wanapenda kutunzwa na wajane wenye vijisenti,mimi imenikuta hiyo,inaboa sana,nimejifunza kuwa na msimamo,anjifanya anakupenda,analinga sana,maneno maneno ya uzushi,ili mradi tu umbembeleze,mi nimechoka,pole mama mwenzangu.
  7. S

    Wewe mtoto wa mtangaza nia utaniua bure

    MSAGA SUMU aa kaka ndio maana mzee hakukubali,kama kuanzia asubuhi hadi jioni nyie mko getho,basi wewe si mtu wa kazi,haukubariki,na mzee akiishika nchi,jiandae kuungana na babu seya garezani,
  8. S

    Jirani nimekuchoka

    MSAGA SUMU mkuu nakushauri uhame ww,
  9. S

    Michepuko embu mrekebishe tone ya sms zenu, ziwe ngumu

    blogger kama vp,acha mchepuko baki njia kuu
  10. S

    Kutoka ukumbi wa BoT Mwanza: Wassira atangaza nia kugombea Urais

    aaah wantuchanganya tu,mwenyewe anaeleweka,
  11. S

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    definitely yes...!!
  12. S

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    kwani wewe umeshafunga ndoa ya mitala na dr slaa? tuanzie hapo kwanza
  13. S

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    kwa kashfa tu bavicha hamjambo yaani hamuwezi kuongea kistaarabu kabisa, jambo la kuwa hata viongoz wenu ili tatizo wanalo. slaa anachoweza ni kubwabwaja tu mbele ya audience basi na uzoefu anao ikizingatiwa kwamba yeye ni padri.
  14. S

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    we jamaa mi huwa nakuamini sana kumbe sometimes ni empty headed kwa kiwango hiki, kwani kuongea sana ndo alama ya uongozi bora?
Back
Top Bottom