Wimbo mpya wa 'Sina Maneno' by Samedali Afrika, mwanafasihi, sasa unapatikana kwenye mtandao wa youtube na mdundo.com
Sent using Jamii Forums mobile app
kkkkk !
unatumbua vyeti feki unapandikiza nyadhifa feki..
hapa ndio utaelewa jinsi alivyo mnafiki..
mafisadi hawaishagi ila huzaliwa aina mpya za mafisadi.
tuliambiwa kaskazini tayari wana maendeleo wakae pembeni ila ukienda kaskazini kama same, simanjiro, kuna hali ngumu kuliko kanda ya ziwa kama vile mwanza.
pombe kila siku anaokoa alichokizamisha jk
lakini nafuu pale jk alipolizamisha taifa, hali za kimaisha za watanzania ziliboreka..
pombe analiokoa taifa huku maisha yakiwa magumu zaidi..
pombe anaokoa huku passport ikipanda bei kwa 150%
pombe anaokoa taifa huku Wasukuma kama vile Bashite, Dotto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.