silver_back
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 833
- 813
Ila kipindi kile aliposhinda dhidi ya Jerry Sla hata mahakamani haikuwa hila.haa haa. huu. ni uwongo mtupu. huyu karudishwa bungeni kwa hila za tume na polis....
Ila kipindi kile aliposhinda dhidi ya Jerry Sla hata mahakamani haikuwa hila.haa haa. huu. ni uwongo mtupu. huyu karudishwa bungeni kwa hila za tume na polis....
Hujuma zipi sasa si mlisema Kikwete dhaifu Sasa ndo chama limeshika hatamaYaani hujuma zoote serikali inazomfanyia Mbowe kwenye vitega uchumi vyake hajateteleka na wanachama wake hawajaacha kumuunga mkono, seuze wewe kupewa ubunge na polisi ndio kuwasababishie waache kumuunga mkono?!
Yaani haka ka dada , Asia Daud Msangi (kaskazini) ukanda na ukabila Ukonga waligundua hilo, wakapiga chiniMbunge mteule wa Ukonga Mwita Waitara Baada ya kutangazwa kama mshindi katika uchaguzi mdogo wa marudio katika jimbo hilo amesema mawakala wa CHADEMA katika vituo vya kupigia kura walimpigia yeye.
Akiongea leo baada ya kutangazwa, Mwita amesema alikuwa na matarajio ya kushinda kwa zaidi ya asilimia 95, hivyo hajashangaa kupata ushindi huo wa asilimia 89.
''Nina ushahidi wa ujumbe mfupi kwenye simu yangu, mawakala wa CHADEMA katika vituo jana wamenipigia kura na walikuwa wananitumia matokeo mapema tu hiyo inaonesha nilikuwa na uungwaji mkono mkubwa sana'', amesema.
Aidha Mwita amekishauri chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kujitazama kilipojikwaa na sio kilipo angukia huku akiweka wazi kuwa kama wanataka chama kibakie waachane na mwenyekiti wao Freeman Mbowe na wakiendelea kumkumbatia chama kitawafia.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi leo, msimamizi mkuu wa uchaguzi jimbo hilo, Jumanne Mashauri amemtaja Mwita Waitara wa CCM kama mshindi wa kiti cha ubunge baada ya kupata kura 77,795 sawa na asilimia 89.1 huku mpinzani wake, Asia Daudi Msangi ( CHADEMA) akipata kura 8,676 sawa na asilimia 9.95.
Muungwana
Mimi sio mfu, hivyo siwezi kumpigia kura WastaraHata wewe ukute ulimpigia kura jana. Tumeshawajua nyie humu kelele ila uwanjani mnaunga mkono juhudi.
Mmasemaga hivi humu kudumisha ukamanda wa mitandaoni. Field tunawajua, usijali kamanda.Mimi sio mfu, hivyo siwezi kumpigia kura Wastara
Kwani wewe amekwambia hatagombea?kwani amekuahidi kwamba 2020 atagombea?
Hahaha....sawa Chief.Mmasemaga hivi humu kudumisha ukamanda wa mitandaoni. Field tunawajua, usijali kamanda.
Mbunge mteule wa Ukonga Mwita Waitara Baada ya kutangazwa kama mshindi katika uchaguzi mdogo wa marudio katika jimbo hilo amesema mawakala wa CHADEMA katika vituo vya kupigia kura walimpigia yeye.
Akiongea leo baada ya kutangazwa, Mwita amesema alikuwa na matarajio ya kushinda kwa zaidi ya asilimia 95, hivyo hajashangaa kupata ushindi huo wa asilimia 89.
''Nina ushahidi wa ujumbe mfupi kwenye simu yangu, mawakala wa CHADEMA katika vituo jana wamenipigia kura na walikuwa wananitumia matokeo mapema tu hiyo inaonesha nilikuwa na uungwaji mkono mkubwa sana'', amesema.
Aidha Mwita amekishauri chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kujitazama kilipojikwaa na sio kilipo angukia huku akiweka wazi kuwa kama wanataka chama kibakie waachane na mwenyekiti wao Freeman Mbowe na wakiendelea kumkumbatia chama kitawafia.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi leo, msimamizi mkuu wa uchaguzi jimbo hilo, Jumanne Mashauri amemtaja Mwita Waitara wa CCM kama mshindi wa kiti cha ubunge baada ya kupata kura 77,795 sawa na asilimia 89.1 huku mpinzani wake, Asia Daudi Msangi ( CHADEMA) akipata kura 8,676 sawa na asilimia 9.95.
Muungwana
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Huna lolote msaliti mkubwa wewe tuachie Chadema yetu
Ukome kuja kuomba pombe za bure hapa Banana.Mbunge mteule wa Ukonga Mwita Waitara Baada ya kutangazwa kama mshindi katika uchaguzi mdogo wa marudio katika jimbo hilo amesema mawakala wa CHADEMA katika vituo vya kupigia kura walimpigia yeye.
Akiongea leo baada ya kutangazwa, Mwita amesema alikuwa na matarajio ya kushinda kwa zaidi ya asilimia 95, hivyo hajashangaa kupata ushindi huo wa asilimia 89.
''Nina ushahidi wa ujumbe mfupi kwenye simu yangu, mawakala wa CHADEMA katika vituo jana wamenipigia kura na walikuwa wananitumia matokeo mapema tu hiyo inaonesha nilikuwa na uungwaji mkono mkubwa sana'', amesema.
Aidha Mwita amekishauri chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kujitazama kilipojikwaa na sio kilipo angukia huku akiweka wazi kuwa kama wanataka chama kibakie waachane na mwenyekiti wao Freeman Mbowe na wakiendelea kumkumbatia chama kitawafia.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi leo, msimamizi mkuu wa uchaguzi jimbo hilo, Jumanne Mashauri amemtaja Mwita Waitara wa CCM kama mshindi wa kiti cha ubunge baada ya kupata kura 77,795 sawa na asilimia 89.1 huku mpinzani wake, Asia Daudi Msangi ( CHADEMA) akipata kura 8,676 sawa na asilimia 9.95.
Muungwana
Atarudia kunywa gongo kwani hapati offer zetu tena.Huyu akili zake zitamrudia uchaguzi wa 2020, atajutia hizi kauli chafu anazozitoa, CCM watamtupa kama hawamjui. Amalizie hiki kipindi kilichobaki na asahau kuhusu ubunge.
Hivi una habari kuwa baada ya shetani afuataye katika rank ni mwanasiasa hasa aliye kigeugeu?Yupo CCM, lakini anaiwaza Chadema,eti ushindi ? au uporaji..
Nenda mwana kwenda msaliti mkubwa,dhambi ya usaliti haitokuacha salama.
Hivi kwani zile movie unakuta familia imetekwa alafu baba wa familia anaamrishwa kufanya chochote ili tu familia yake iwe salama, huwa inatokeaga kweli kwenye maisha?Mbunge mteule wa Ukonga Mwita Waitara Baada ya kutangazwa kama mshindi katika uchaguzi mdogo wa marudio katika jimbo hilo amesema mawakala wa CHADEMA katika vituo vya kupigia kura walimpigia yeye.
Akiongea leo baada ya kutangazwa, Mwita amesema alikuwa na matarajio ya kushinda kwa zaidi ya asilimia 95, hivyo hajashangaa kupata ushindi huo wa asilimia 89.
''Nina ushahidi wa ujumbe mfupi kwenye simu yangu, mawakala wa CHADEMA katika vituo jana wamenipigia kura na walikuwa wananitumia matokeo mapema tu hiyo inaonesha nilikuwa na uungwaji mkono mkubwa sana'', amesema.
Aidha Mwita amekishauri chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kujitazama kilipojikwaa na sio kilipo angukia huku akiweka wazi kuwa kama wanataka chama kibakie waachane na mwenyekiti wao Freeman Mbowe na wakiendelea kumkumbatia chama kitawafia.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi leo, msimamizi mkuu wa uchaguzi jimbo hilo, Jumanne Mashauri amemtaja Mwita Waitara wa CCM kama mshindi wa kiti cha ubunge baada ya kupata kura 77,795 sawa na asilimia 89.1 huku mpinzani wake, Asia Daudi Msangi ( CHADEMA) akipata kura 8,676 sawa na asilimia 9.95.
Muungwana