Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
Dah afadhali asingesema chochote angebaki kimya tu, yaliyoko myuma yake ni mengi kuliko anayoyasema....ngoja tuone picha inakwendaje.
Dah afadhali asingesema chochote angebaki kimya tu, yaliyoko myuma yake ni mengi kuliko anayoyasema....ngoja tuone picha inakwendaje.
Mkuu kwani hakuna budget ya kujenga Marengo ya serikali? Hii habari ya rais kutoa billion kumi, 20 imekaaje?
Kuhusu passport nimesikia ni quick money making mashine. Yaani wameona walete passport na ziuzwe laki na nusu pesa yao itarudi na faida watapa
Inanishangaza sana hii ya kuchota pesa za walipa kodi bila idhini ya Bunge na kuzigawa kama njugu in billions!!!! Wizi na ufisadi katika awamu hii ni zaidi ya awamu Za mafisadi Mkapa na Kikwete COMBINED.
Kweli,mfano.Huyu mzee hajawahi kufaulu kwenye mipango yake anayoiandaa sijui ana mikosi gani pengine ndio maana anaomba watu wamuombee!!!
Hopeless naona umebanwa kweli kweli mpaka utakoma hakuna kupumua safari hii.Tuna Raisi kanyaboya haijawai kutokea tangia tupate Uhuru nchi hii.
Rushwa sidhani kama itakuja kuisha, hata Mwalimu Baba wa Taifa alikiri kwamba kupigana na vita Rushwa unatakiwa kuwa na moyo mgumu kama wa mwendawazimu.
ni kwel kabisa na ni wazi imethibitika hakuna mkoa wenye njaa mpaka sasa feb
unga kg 1=1000
klo mfuko 25=20000 hiyo ni sembe tu
dona kg1=700
kg 25=16500
ngano
kg1=1200
mnataka maendeleo gani zaidi ya kula kwanza? toka mwaka 2009 ndio mara ya mwisho kununua unga 700
asantf magufuli tunakuombea babaaa utufikishe 2020 tena tutakupa ushindi wa kimbungaa.
yeddy guyy
[gemstone dealer]
Tunasubiria wawateke waandishi wa jamhuri, unajua ukionja nyama ya mtu huwezi acha, mate yanawadondoka natamani niwaone sura zao wakisema Tanzania ni kisiwa cha amaniHili ndio gazeti LA kina Manyerere Jackton
Huyu aliomba mzinga wa bia ikulu
Ngoja tuone yasije kuwakuta ya MCL kwa yule jamaa Azoli