[emoji23][emoji23][emoji23]mpira ungekua unafasiriwa hivyo kama unavyo sema wewe ingekua atari,umeona new castle leo anavyo nyolewa na spurs iliyo fungwa na chelsea goli nne wakati chelsea nae kafungwa goli nne na new castle,this is footbal braza.
Umasikini mbaya sana mkuu
Ungangali wa mtoto inategemea na wewe mzazi nyumbani, mtoto akirudi shule mpigishe kazi ndogondogo kama kujifulia nguo mwenyewe kulimalima vinyasi vinavyo zunguka nyumba,sio junia kaangalie katuni
anakomaa,kwasababu hata huko kayumba unako mpeleka ukimdekeza wenzake...
Habari za jioni wakuu,
Mwaka 2018 nilikua nafanya kazi kwenye kampuni flani
Nilifanya kazi kwa miezi saba tu nikaacha, nikaingia zangu mtaani.
Sasa naomba kujua taratibu za kufuatilia mafao maana nilikua mwanachama wa nssf na pesa ya nssf ilikua inakatwa kila mwezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.