Recent content by shankal

  1. shankal

    Haki huyu ndie mwalimu SIMBA tuliyemhitaji

    [emoji23][emoji23][emoji23]mpira ungekua unafasiriwa hivyo kama unavyo sema wewe ingekua atari,umeona new castle leo anavyo nyolewa na spurs iliyo fungwa na chelsea goli nne wakati chelsea nae kafungwa goli nne na new castle,this is footbal braza.
  2. shankal

    Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

    Umasikini mbaya sana mkuu Ungangali wa mtoto inategemea na wewe mzazi nyumbani, mtoto akirudi shule mpigishe kazi ndogondogo kama kujifulia nguo mwenyewe kulimalima vinyasi vinavyo zunguka nyumba,sio junia kaangalie katuni anakomaa,kwasababu hata huko kayumba unako mpeleka ukimdekeza wenzake...
  3. shankal

    Kama wewe ni mwanaume kuna mambo hupaswi kumuita fundi

    Sijui anataka tukale wapi sisi wazibua vyemba?[emoji848] Atakua mchawi huyu sio bure
  4. shankal

    Msaada: Hivi ni vidonge gani?

    Umeuza mechi?
  5. shankal

    Ushauri kuhusu NSSF

    Nashukuru mkuu Kipi kinaanza kati ya kujaza form nssf wilaya na kuchukua hizo document za mwajiri? au nabeba hizo documents then naenda nazo nssf
  6. shankal

    Ushauri kuhusu NSSF

    Habari za jioni wakuu, Mwaka 2018 nilikua nafanya kazi kwenye kampuni flani Nilifanya kazi kwa miezi saba tu nikaacha, nikaingia zangu mtaani. Sasa naomba kujua taratibu za kufuatilia mafao maana nilikua mwanachama wa nssf na pesa ya nssf ilikua inakatwa kila mwezi.
  7. shankal

    DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

    Wakijibu niite broo hata mimi sijaelewa hapo
  8. shankal

    Chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa Bilionea?

    Chapati na maharage[emoji39]
  9. shankal

    Agiza nami Vioo vya samsung original kutoka China ndani ya siku 14 za kazi

    Shukran mkuu kwa huduma,kioo kipo fresh japo kilichelewa na enjoe,maana bei niliyo ambiwa huku hii simu niliamua kuipaki
Back
Top Bottom