shankal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 372
- 324
Habari za jioni wakuu,
Mwaka 2018 nilikua nafanya kazi kwenye kampuni flani
Nilifanya kazi kwa miezi saba tu nikaacha, nikaingia zangu mtaani.
Sasa naomba kujua taratibu za kufuatilia mafao maana nilikua mwanachama wa nssf na pesa ya nssf ilikua inakatwa kila mwezi.
Mwaka 2018 nilikua nafanya kazi kwenye kampuni flani
Nilifanya kazi kwa miezi saba tu nikaacha, nikaingia zangu mtaani.
Sasa naomba kujua taratibu za kufuatilia mafao maana nilikua mwanachama wa nssf na pesa ya nssf ilikua inakatwa kila mwezi.