Recent content by shangoo

  1. shangoo

    Ni yupi mwanamke mwenye nafuu kati ya hawa wawili?

    Mwanamke mkorofi habadiliki
  2. shangoo

    Huenda kuna waislam wengi duniani wameshazikwa wakiwa hai

    Kuna jamaa kitunda alikuwa fundi umeme kafa saa sita mchana jion saa kumi tukamzika ananiuma nadhan kama alizimia hivi dah
  3. shangoo

    Dharau na kiburi cha EQUITY Bank

    Kiukweli kwa sasa naona wamezidiwa sanaa kama tawi la mbagala la mikopo bovuuuuuuuuuuuuuu unakamilisha kila kitu afisa anakuzungushaaa tu.zama hizi bora umwambie mtu huna vigezo aendelee kusali.BARAKA WA EQUITY MUNGU ANAKUONA[emoji25][emoji25][emoji25]
  4. shangoo

    Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

    Mayuuuu uweee nzua wakukembetee
  5. shangoo

    Mpenzi wangu ana mahusiano na rafiki yangu

    Huyo unampenda mwambie unajua kuhusu huyo jamaa na mpe msimamo mzee usije umia baadae
  6. shangoo

    Wanawake kuweni makini

    Wanawake wa ajabu sanaaa unamgharamikia vitu vingi mpka unaoa baqda ya mwez mmoja kuna mpuuzi anachat naye anamwita maenge huku hata wewe hujawahi mwita[emoji45]
  7. shangoo

    Milioni 5 inanichanganya akili. Je, inawezekana kuwekeza?

    Mkuu kama hujui hata kuwasha jiko biashara haikufai utapoteza hela biashara ya chakul nzur ila changamoto ni wapishi tu
Back
Top Bottom