Habari za wakati huu.
Lengo ni kutaka kuwekeza, pesa katika Biashara ya CHAKULA hasa mgahawa.
Je 5M inaweza Kufanya kitu kikubwa katika Biashara na kujitofautisha na wengine ili kuwa level ya Kati?
Jambo jengine, naweza nikachukua frem ya elfu 80 au 100K ila ikawezekana kulipia pango na cosistance ya Biashara ikabaki pale palee? (Sababu sifikirii faida kubwa wakati wa kuanza)
JAMBO LA MWISHO, KAMA UNA MAHALII (LOCATION) UMEONA AU UMEWAHI KUWAZIA KUWEKA MGAHAWA , USISISITE KUNICONECT NDUGU ZANGU.
KWANGU UNAWEZA KUWA MSAADA MKUBWA SANA KAMA UTAPENDA KUNISAIDIA.
(DODOMA NA DAR ES SALAAMA) NDIO MAHALI NATAZAMIA.
ASANTENI SANA.
KARIBUNI KWA MAONI YENU.
Lengo ni kutaka kuwekeza, pesa katika Biashara ya CHAKULA hasa mgahawa.
Je 5M inaweza Kufanya kitu kikubwa katika Biashara na kujitofautisha na wengine ili kuwa level ya Kati?
Jambo jengine, naweza nikachukua frem ya elfu 80 au 100K ila ikawezekana kulipia pango na cosistance ya Biashara ikabaki pale palee? (Sababu sifikirii faida kubwa wakati wa kuanza)
JAMBO LA MWISHO, KAMA UNA MAHALII (LOCATION) UMEONA AU UMEWAHI KUWAZIA KUWEKA MGAHAWA , USISISITE KUNICONECT NDUGU ZANGU.
KWANGU UNAWEZA KUWA MSAADA MKUBWA SANA KAMA UTAPENDA KUNISAIDIA.
(DODOMA NA DAR ES SALAAMA) NDIO MAHALI NATAZAMIA.
ASANTENI SANA.
KARIBUNI KWA MAONI YENU.