Angeanza kujiweka katika viatu vya mama lulu ambaye mwanae alikuwa anabakwa na Kanumba sababu hakuwa hata na 18 ila Kanumba anagonga bila huruma hapo angepata picha...
Kila utawala una zama zake brother, sasa kwa kuwa unawainua watu ndio uwapangie level za mafanikio yao, mtu akitaka step flani kwakuwa haikupendezi ndio awe adui!? I think WCB watafanya mapinduzi makubwa ya kuwafumbua wasanii na huu utumwa wa Ruge. Na hakuna mafanikio ya kweli chini ya utumwa ni...
Hakuna kitu kama hicho eti siku za mahabusu kuhesabika kama sehemu ya kifungo na bwana hela. Huo ni uongo uliowazi kifungo kinahesabika siku uliofungwa na si vingine kabisa. Kipindi ulichokaa mahabusu unaweza kukitumia kumuomba hakimu akupunguzie adhabu na si vingine. Kutokana na hilo, hebu...
Bodi ya mikopo na Serikali inapaswa kuondoa hicho kigezo na ibaki na sifa ya ufaulu wa mwanafunzi kulingana na fani anayoenda kusomea. Uasili wa mtoto katokea wapi, hautusaidii kama nchi, tunapaswa kulenga ufaulu kama sifa watoto wapige kitabu...labda wa Serikali wapewe kigezo maalum kama...
Huu mradi ulifadhiliwa na WB si pesa ya Serikali directly ni mkopo, sasa unakopaje unajenga kitu kibovu!? Yule Mkuu wa TANROADS jana kasifiwa na kapewa Jina la Fly Over wakati alipaswa kuwa KEKO kwa kuitia nchi hasara kubwa kwa Barabara hii mbovu...kama mjini tena Dar hivi, huko Porini inakwaje...
Usiyoyajua yaache tuu, huyu Dogo hata akute Simba wamekaa anakatisha tuu, anajiamini kufa, we umezaliwa mjini huyajui, kule vijijini wanamjua, ukikutana naye kama mwanaume unaambiwa shika mapumbu kwa mikono yote na lala chini kifudi fundi.... la Sivyo utamuua ila mapumbu na mzigo lama...
Kutokana na kuumwa sana na Nyoka, mwili wake umetengeneza anti-venum ya sumu ya nyoka, hivyo akiumwa mwili hutoi hiyo dawa...kwa hiyo hamna nyoka anaweza muua kwa kumg'ata sumu ikizidi sana huzimia kwa muda baadae anaamka baada ya anti venum kufanya kazi. Inaaminika ndiye mnyama jasiri kuliko...
In 21st century timu inategemea pesa ya mtu mfukoni, kweli!? Timu yenye fan base of more than 15m...kweli!? Bado unashindwa kuamini kuwa mtu mweusi ana tatizo la asili kwa meandeleo...eti Yanga haina pesa ya kulipa mshahara of 20 players na 5 stuff... ha ha ha... AFRICA OOH AFRICA...
Unataka Serikali ifanye nini kwenye Kilimo!? Serikali kwani inalima....!?Ama ulitaka itoe matrekta na mbolea bure nchi nzima!? Ama unataka subsidy kwa wakulima!? Kwanza Tanzania kuna wakulima ama subsistence farmers!? Weka hoja vizuri....Sioni tatizo kwa ndege coz in every business there is...
Yanga ina washabiki zaidi ya million 10, mpeni mzungu timu muone maajabu....tatizo timu inaendeshwa kama gari la mkaa na si kibiashara...hapa ndipo unapojiuliza is born a black a curse!? Hao washabiki wakitumiwa vizuri tuu hiyo can transform kuwa timu kubwa sana Africa ambayo inajitegemea...
Ukishaona mfumo wa Malipo ya elektroniki umepigwa vita na zengwe mpaka umekufa sasa ni mwendo wa cash basis ujue tabia ya asili ya mswahili imerudi, wizi juu ya wizi....haiwezekani uruhusu pesa kupokelewa kama njugu uone mafanikio. Hapo pesa ni nusu mfukoni nusu kampuni. Duniani kote watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.