Ajipange upya.. aache kusikiliza wenye chuki binafsi juu ya maendeleo ya mond.. akubali kujifunza... na kama kipaji hakipo si aache tu.. heee ye naye hachoki kutamkwa midomoni mwa watu, mwe mwe..
Hadi huruma mnavyomnanga mtoto wa mwanamke/mwanaume mwenzenu, kama angekuwa anajitambua kiba angetoaga audio tu akapotezea au video asishiriki kucheza, hajawahi kutoa video ikaendana na wimbo jmn... alitoa video ya mwana, ni bonge la video lkn sio ya kuendana na wimbo hata kidogo.. jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.