Yani ww umejikita kuangalia makosa tu.Mmmmh ngoja waje....
Hizo am,i am nying sana
Hapana, wote tu wanaweza kunitafta, wawe wanaelewa au kutoelewa Kingereza na Kiswahili its just OK.
Kwetu watz mtu mwenye kupenda kukitumia kiingereza hata kwa mambo lahisi kama haya tunamwona ni "mshamba" au "limbukeni". Lugha yetu adhimu ya the ni utambulisho wetu nasi twajisikia fahari kujinasibisha nayo.
So in short asiyeelewa English hafai kurespond kwa sababu inamaana kwamba hajaenda shule. Nia yangu kuu sio kufikia watu wengi iwekezekanavyo, bali ifikie watu flani, 'target group' and in this case target group ni wadada literate.
Yani ww umejikita kuangalia makosa tu.
Ila nimecheka pia hiyo sio lugha yetu bana