Dawa ya babu inanitesa

Dawa ya babu inanitesa

Jamani fukunyueni posti zingine za huyu dogo wa matombo maana kazidi na stori zake za uongo Tyta

Acha uvivu wa kufikiri wwe sio kila thread niya mtu husika,thread zingine tunavaa uhusika wa watu wengine wenye shida hizo tunatafuta namna ya kuwasaidia!,akili kubwa siku zote hutawala akili ndogo,angalia kama wwe unaropoka bila kukijua unachokisema.
 
Last edited by a moderator:
Habari wakuu,

Natumaini mko poa,nilipokuwa kijana na balehe nilikuwa napenda sana wasichana, yaani nilikuwa natamani sana wanawake wazuri wote wawe wangu, siku mmoja niliposafiri kwenda kijijini kwetu, nikakutana na vijana wa kule kijijini tulikuwa tunapiga story kuhusu mambo ya wasichana, ndipo tukafikia hizo story za kutumia madawa kuwavutia wanawake ndipo kijana mmoja akaniambia babu yake ana dawa nzuri sana ya hizo mambo.

Kwa vile kipindi kile nilikuwa napenda sana wasichana nilimwambia anipeleke kwa babu yake nikachukue hiyo dawa, nilipofika kule nikamwambia yule babu shida yangu ya kupata dawa ya mvuto kwa wasichana, yule babu akaniambia ana dawa mbili ya kuoga na ya hirizi nichague ipi, nikachagua ya hirizi, akaniambia natakiwa nimeze hiyo hirizi ndogo na akanipa na dawa ya maji ninywe ikiwa imechanganywa na damu sijui ni ya mnyama gani.

Baada ya kumeza hirizi na kunywa ile dawa ya maji, yule babu akaniambia kuanzia siku hiyo hakuna mwanamke atakaye nikataa nikimtongoza. Sasa imepita miaka kumi na moja, sijawahi kukataliwa na mwanamke yoyote niliyemtongoza na nimeshakula pesa za wanawake wengi.

Sijawahi kumuomba hela mwanamke akaninyima labda asiwe nayo. Sasa hivi juzi kati, dada yangu nae ameanza kunitongoza anadai anavutiwa na mimi kimapenzi, anasema amevumilia sana ameshindwa imebidi aniambie, najaribu kumuepuka lakini wapi.

Jamani hii dawa inanitesa sana, najuta kuitumia. Imenifikisha pabaya.

Naombeni ushauri wenu.

kwa ushauri zaidi, endelea kuomba ushauri
 
Kabla ya kunywa au kupewa dawa lazima uambiwe mauzi madogomadogo ya dawa hyo huyo babu hakukwambia???
 
jamani hawa wa sasa hata hawahitaji hirizi..........mwandishi hujiamini tu hiyo hirizi imefungwa mavi ya kuku tu humo ndani hakuna lolote
 
Acha uvivu wa kufikiri wwe sio kila thread niya mtu husika,thread zingine tunavaa uhusika wa watu wengine wenye shida hizo tunatafuta namna ya kuwasaidia!,akili kubwa siku zote hutawala akili ndogo,angalia kama wwe unaropoka bila kukijua unachokisema.

afadhali umemwambia coz kuna mapimbi sana hayaelewi ni kukariri tu
 
We pimbi kweli,jf ni sehemu ya kupunguzia stress,hasa kwenye jukwaa la mahusiano,inshort sija jizungumzia mmi nimechukua uhuska wa mtu mwenye hayo matatizo ili niweze kumshauri,usikariri wwe!

Ndoroooooobo
 
Ingekuwa vema ukarudi kwa babu aondoe hiyo kitu.
Shida ni pale kama babu ameshakufa!
Huko ndo kujochanganya!
 
Jamani fukunyueni posti zingine za huyu dogo wa matombo maana kazidi na stori zake za uongo Tyta
Dah! Kweli nimeziona kumbe ni muongo .Na ukiwa muongo usiwe msahaulifu jamaa alijisahau kuwa tayari katupotosha japo ina chekesha.
 
Last edited by a moderator:
Kuna wakati huku MMU huwa kuna wapumbavu sana...
 
julius caesar na yule "Ng'ombe" wenu wa kike umeshamalizana naye???
 
Last edited by a moderator:
We pimbi kweli,jf ni sehemu ya kupunguzia stress,hasa kwenye jukwaa la mahusiano,inshort sija jizungumzia mmi nimechukua uhuska wa mtu mwenye hayo matatizo ili niweze kumshauri,usikariri wwe!

naogopa kukujibu ili kulinda personality yangu. Ila kwa ufupi tu na kwa jinsi ulivyojibu against yo rubbish posts, Sina uakika kama akiri zako zinajaa kile kijiko kidogo cha sukari!!!
 
Back
Top Bottom