Ok,
Kumbe inawezekan hata kama ni miaka mia ijayo.
Ugunduzi ktk sayansi haujakoma.bado mambo mengi theories, principles, laws na facts zitaendelea kuja mpya wakati hadi wakati mwingine... Efficiency na economic feasibility hilo litafanyiwa kazi hata kama ni miaka mingi na solution itatokea...
Matanzania aiite Tz shamba la bibi tena wakati tupo humuhu??!!! Wa kuiita Tz shamba la bibi ni yule anayetoka nje na kuchuma kilaini na kwenda kuwekeza kwao nje. MTz atachuma hapa na kuendeleza humu Tz na kutoa ajira humu ndani, ukiwa na kinyongo una shida ya asili!!!
Ok...
Swala la kurudi kwao...
Fuatilia historia vizuri kabla ya uhuru wa Tanganyika wakati Nyerere alipoenda UN kutafuta uhuru wa Tanganyika alionana na Mareale akiwa UN pia kutafuta uhuru wa eneo lake lakini Nyerere alimzidi ujanja akadai kuwa uhuru anaoutafuta unahusisha hata eneo lake (Mareale), hivyo uhuru ukatolewa...
Uongeaji sana wa kiongozi hudhani huwaridhisha watu anaowaongoza kwa maneno matamu na.ahadi za kutamka tu.
Kiongozi anayeongea kidogo hufanya vitendo zaidi.
Hatutaki gonjera majukwaani zimetosha na hazina tija miaka yote tangu tumeitwa nchi.... reserve this even for your personal performance!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.