Daahhh nmeshangaaa mpishano wa mbio za wabunge kama wapo kitaa hivi kama kumetokea moto au bunge lmevamiwa.... Updates tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatzo lnakuja wagen hawapew kipaumbele kwa threads zao wanapo zpandisha humu no more quote or reply.........
Kampani ya members ni muhimu sana..... Sote ni watoto wa baba mmoja jaman.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa matamko ya dharula/ghafla.....
Ukitamka hivi walah nami nitajikongoja kukupigia kura awamu zifuatazo,,,.
"Natoa wito kwa mamlaka kufungulia channel zote zilizo zuiliwa kwenye ving'amuzi vifuatavyo na pia hawa waruhusiwe kuonesha taarifa ya habari"
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapo unakuta kuna kundi la watu hawana ajira, hawana elimu na hawajui nn maana ya kikokotoo..
Ila ameunga folleni eti ameandamana. Dhambi zingne ni mpya (Brand New Sins) na hazitasameheka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaa.... Hapo ukiangalia ile video ya wema ni akiba jamaa baada ya kula hotelini akajikuta hana wallet yake kama nakuona wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bonyeza *149*01# OK
Chagua no 10 tuzo.
Kisha chagua 1 tuzo point
Kisha chagua 2 vuna point
Kisha chagua 3 hamishia kwenye m-pesa
Hapo utaweza kuona thamani ya hizo tuzo zako 14000 in cash kisha utaweka kiasi hicho na tayari pesa itahamia kwenye akaunti yako ya m-pesa.
Sent using Jamii Forums...
Syo promo ni real sema tu ukubwa wako wa kufanya huduma/miamala na kuweka vocha ndo unapata mkwanja mrefu.
Mimi binafsi nimeifaidi saana, masuala ya 5000, 10,000 kuhamishia kwenye simu yangu ilikuwa kawaida sana japo kwa sasa hatupewi wanawapa wateja wa kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaanzaje nwaka ukiwa na mambo ya mwa jana, mwaka mpya na mambo mapya bwana. Mnaogopa nini wakati na vitabu vitakatifu vinasema,, "yakale yatapita na tazama yatakuja mapya".
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaza sana, kama maagizo kutoka juu ndivyo ilivyo kuhusu vitambulisho vya wajasiriamali,, kuwa kuna daftari la kuwaandika wajasiriamali kwanza na kwa muda maalumu na kisha daftari hilo kupelekwa wilayani, kwa madai ya kuwa wamemaliza kuandika na wakati eneo la biashara watu wanaingia kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.