shahazady mustafa
Senior Member
- Oct 1, 2018
- 110
- 56
Heri ya siku ya ukimwi duniani wadau, mm leo nmeamka tu ile npo kazn basi nkawa nacheck check channel mpya kwenye kisimbusi changu cha Azam. Mara paap kwese Tv hiyo hapo, kusogeza tena mara Tv10 hiyo hapo kwaajili ya burudani.
Naomba kujuzwa zaidi, kwetu wapenzi wa kandanda Kwese Tv inaonesha mechi gani/league gani?
Tv10 yenyewe pia sjui ya wapi ila naona full burudaniiiiiii hadi najisahau kuiuliza itokako.
Azam Tv, Burudani kwa wote.
Naomba kujuzwa zaidi, kwetu wapenzi wa kandanda Kwese Tv inaonesha mechi gani/league gani?
Tv10 yenyewe pia sjui ya wapi ila naona full burudaniiiiiii hadi najisahau kuiuliza itokako.
Azam Tv, Burudani kwa wote.