Ukiwa km kijana ni kutoa aibu ktk kutafuta tusichague sana kaz iasee miez miwil nyuma ajira yang ya muhindi iliisha gafla tu aisee nilikuwa sijui naanzia wap naishia wap,nikauza simu laki na 50 nikatafuta eneo lenye muingiliano wa watu weng, nikafungua kijiwe cha kukaangaa mihogo nikapambana km...
Habar za kishamba unaleta izo aisee,ajal mda wwote tu ule acha watz wafurarah maisha na safar za usiku hasa wafanya biashara imesaidia sana pia imetoa ajira nying sana kampun zimeongeza mabus drivers wamepata shavu conductors pia wakisitisha watu wataenda wap maana safar zitapungua kutokana na...
Aliemuokota ni mke wa firaun bi asia na sbb y kutupwa mtoni ni kuwa firauni alikuwa anauwa watoto wakiume wanabak wakike kwa hofu ya kupinduliwa madaraka yake.ndio allah akamwambia amtupe mton huku dada ake na musa akifatilia kile kikapu na kikaingia ndan ya jumba la firaun lengo na makusidio ni...
Nenda masoko makubwa yenye population ya watu weng mfno ilala,bugurun ,sterio,mabibo nk tafuta sehem mbel ya duka la mtu umlipe per day kaanga mihogo mixa kachumbal ya pili pili nzur ,kuwa msafi pia andika na kibao wek namb ya simu unafanya deliver kwa eneo ndan ya soko ,zingatia hili usaf .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.