Nauza hii nyumba pamoja na kiwanja kilichoizunguka hii nyumba,,kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu,,zitokanazo na tatizo la kiuchumi linalonikabili
Picha ya nyumba kamili ni hio hapo..nimeweka picha takribani 4 pamoja na kiwanja Chake
Picha izo hapo...