hatua ishirini kwa ishirini na tano waeza zungushia fensi..watoto wakapata sehem ya kuchezea na sehem ya car parking..nauzia shida tu ndugu yangu
ahsante mkuu
Nauza hii nyumba pamoja na kiwanja kilichoizunguka hii nyumba,,kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu,,zitokanazo na tatizo la kiuchumi linalonikabili
Picha ya nyumba kamili ni hio hapo..nimeweka picha takribani 4 pamoja na kiwanja Chake
Picha izo hapo...
na hapo ndipo tunapokwamia tunawachukulia hawa wadada wa kazi as if they are animal's wataacha kututesea hawa watoto? Huyo boss anaonekana alikua akimtesa sana bint wa kazi sasa mkuki kwa nguruwe binti kamalizia hasira kwa mtoto kaonekana gaidi wakati wakichunguza source ya tatizo ni hao maboss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.