Tazizo la Email Kwenye Nokia C3, Naomba msaada

loveleen

JF-Expert Member
Jul 3, 2014
431
113
Habarini wapendwa.......

Nina simu aina ya Nokia C3 00.. Hii naipenda sababu inakaa na charge tofauti na smartphone nyingine nilonayo sasa hii NOKIA C3 00 tangu jana siielewi yaani nikienda upande wa EMAIL inajiload alaf gafla inakata na kuandika maneno yafuatayo "This service is no longer surpported this account is not accessible anymore"

simu.jpg

Cha ajabu ukifungua kwenye Laptop iyo Email inafunguka kama kawaida na ata ukifungua kwa kutumia simu nyingine pia inafunguka kama kawaida......

Tafadhali wataalam wa hii kitu nahitaji msaada wenu maana naipenda sana hii NOKIA C3 00

Nini tatizo ndugu zanguni Au simu ishakua kimeo?
 
Hongera kwa kueleza tatizo vizur pamoja na kuweka picha la tatizo husika,me nadhani iyo simu ina tatizo upande huo wa Emails cz kama tatizo lingekua kwenye Email address wala isingekubali ku function kwa kutumia browser nyingne, ngoja wataalam waje watakupa suluhu
 
Inaandika maneno hayo hapo kwenye picha niloonyesha lakini cha ajabu ukifungua iyo email kwa simu nyingine au kwa Laptop inakubali tu je hili ni tatizo gani? Au simu ishakua kimeo?
Jaribu kuifuta kabisa hiyo email humo kwa simu kisha iweke upya uone
 
Nimejaribu kuchek what's the problem kumbe NOKIA wamesitisha huduma ya Emails kwaiyo simu yako haina tatizo lolote lile ila wenyewe NOKIA ndio wamesitisha huduma ya EMAILS kwenye izo simu, ushahidi huu hapa chini
 

Attachments

  • 1418193826789.jpg
    1418193826789.jpg
    86.5 KB · Views: 73
myb kuna sehm unakuwa ume login ! am jaribu ku ireset wek vitu vya muhim kweny memory am flash thn rest

Ahsante mkuu kumbe ni NOKIA wenyewe ndio wamesitisha huduma ya EMAILS angalia comments za Howt Lady kaweka proof pictures
 
Last edited by a moderator:
ahsante sana mydear Howt Lady nimesikitishwa sana nahii habar ya hawa Nokia kusitisha hii huduma ya Emails
ANDROID watazidi kua juu siku zote

nokia kauza kampuni toka mwaka jana, aliediscontinue hizo simu ni microsoft sababu ndie anaezimiliki kwa sasa.

opera kapewa tenda na microsoft ya kuziendeleza simu kama yako hivyo wao ndo wapo responsible kwa app zinazofanya kazi.

ni vyema kama utaenda opera mobile store halafu ukatafuta app ya email nyengine japo nna waswas kama push notification haitafanya kazi.
 
Last edited by a moderator:
nokia kauza kampuni toka mwaka jana, aliediscontinue hizo simu ni microsoft sababu ndie anaezimiliki kwa sasa.

opera kapewa tenda na microsoft ya kuziendeleza simu kama yako hivyo wao ndo wapo responsible kwa app zinazofanya kazi.

ni vyema kama utaenda opera mobile store halafu ukatafuta app ya email nyengine japo nna waswas kama push notification haitafanya kazi.
ata akifanya ivyo hatopata suluhu Nokia walishaiuza na huduma iyo ya Emails ilishasitishwa
 
ata akifanya ivyo hatopata suluhu Nokia walishaiuza na huduma iyo ya Emails ilishasitishwa

kwenye s40 push notification ndio ya nokia hivyo yeye ndio mwenye uwezo wa kuifunga ila nokia au microsoft au mwengine yoyote hana mamlaka ya kumuingilia developer atakaeamua kuendelea kuisuport s40.

ndio maana hadi leo kuna watu wanaendelea kuzisuport hizi simu na apps zinatengenezwa kila siku
 
Mkuu,maelezo ya Howt Lady ni mwisho.
Msaada wa bure,ingia Google,kisha andika Opera Mini 4.Download kisha Install.Utakapofungua utaona kwenye maelezo Gmail,Yahoo etc.Enjoy it.
 
Back
Top Bottom