Let us not be bias kwa kila jambo, msijifanye wajinga,au reasoning capacity yenu ni ndogo kiasi hicho! Hii ni hatari kwa taifa letu,ukizingatia vijana ndo tunakuwa bias hivi. Makundi mawili yanaonekana wazi kabisa ktk hili,kwann mnaamua kujivalisha ujinga,mimi ni mwanachadema,lakn kamwe cpendi...