Recent content by shackoor

  1. shackoor

    Kwanini wananchi hawaungi mkono juhudi za Rais?

    Mkuu acha kuongea ujinga, ukiona haungwi mkono ujue kuna tatizo, siku nyngne ukitaka kuandika uzi utumie akili sio makanyagio[emoji29]
  2. shackoor

    Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  3. shackoor

    Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    Fleets to DXB kutoka Tanzania kwa siku nnazozijua ni kama 4 hivi, Emirates Fly Dubai ya DAR, JRO, na ZNZ izo ni kila siku lazima zifanye iyo Route na zinapata Abiria wa kutosha,, nahisi hata ATCL akianza atapata abiria tu kawaida ila hawezi Kushindana na akina Emirates-Fly Dubai izo Kampuni ni...
  4. shackoor

    Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    Emirates From DXB-DAR inayo operate in Boeing 777-ER katk mpangilio ni 3rd Largest Passenger plane in the world after Airbus A380 and Boeing 747-9 Sky Queen
  5. shackoor

    Apps 10 ambazo lazima utumie kwenye simu yako

    Spotify wanajitahidi kwakweli japo Interface yao kwny App sijaipenda sana....Ina zaidi ya miziki 53 Millions kwny Library! Google Music Play wao wapo vzr kwny Interface ila Music Library yao ipo 43 Millions tu! kwaiyo kuna baadhi ya miziki unaweza usiipate kwny Google Music lkn Spotify...
  6. shackoor

    Nahitaji kununua iliki

    Kilo utanunua kwa bei gani mkuu?
  7. shackoor

    Apps 10 ambazo lazima utumie kwenye simu yako

    Kwenye Simu yangu Apps Muhimu ni; -Spotify -Pandora -Google Play Music -Betternet VPN ......I just love music...GPM nmelipia 4 years Subscription Others are IG for Leasure, Whtsapp, FB etc
  8. shackoor

    Kama umewahi kupata mkopo toka nje ya nchi pitia hii

    Mkuu jiongeze wewe, Hamna kitu cha namna hiyo...unatapeliwa! ushawahi kuona wapi unatoa Pesa ili Upate pesa za mkopo...
  9. shackoor

    Faida/Changamoto za biashara ya Mabasi

    Mkuu jamaa hakufilisika yule...Angalia Hii [emoji117] [emoji117] Jamaa ka invest kwny kilimo na nahisi kinamlipa kuliko hata hayo mabasi! Kiukweli jamaa kathubutu kwny kilimo
  10. shackoor

    Wanafunzi 7 Wafukuzwa Chuo Kikuu Cha Kiislamu Morogoro kwa kujihusisha na Mapenzi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi ndo man nlikataa kusoma icho Chuo....wale wazee wenzangu wa UDSM way back 2013 mtakuwa mnakumbuka Orientation week Prof. Njabili alisema Ruksa kufanya mapenzi ila msiwaachie wenzenu harufu chumbani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]....Picha linaanza Hall...
  11. shackoor

    Wanafunzi 7 Wafukuzwa Chuo Kikuu Cha Kiislamu Morogoro kwa kujihusisha na Mapenzi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  12. shackoor

    Sitasahau siku niliposafiri na ungo kutoka Rukwa hadi Kisarawe

    [emoji23][emoji23][emoji23]Acceleration ya Babu ni zaidi ya TESLA Car by Elon Musk...Hii Technoloy inafaa sana mana nataka kuzamia kwa Trump bila VISA wala Pass
  13. shackoor

    Nimedukua mawasiliano ya mke wangu kwa WhatsApp code, aisee anapanga makubwa kunisaliti nitakaposafiri

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kunywa pepsi baridiiii apo kwa Mangi...ntalipa
  14. shackoor

    Wanawake wa kiislam mlioolewa: Unaona sawa mumeo akiongeza wanawake hadi wanne?

    Mkuu kama umeamua kulaum ishu wa wake wanne nakushauri usimlaumu muislam mlaumu Mungu alieamu kuumba wanawake wengi zaidi ya wanaume,,.Sensa ya Dunia ratio ni 1:5 yaani mwanaume mmoja wanawake 5 ndo idadi inakuwa kamili....ko unachosema hapo ukabaki na kimoja hao wengine wakadange huko Sinza na...
Back
Top Bottom