Kwanini wananchi hawaungi mkono juhudi za Rais?

Kwanini wananchi hawaungi mkono juhudi za Rais?

Madiwani wanahama vyama vya upinzani pamoja na wabunge wao ili kuunga mkono juhudi za Rais katika kuleta maendeleo nchini. Hawa pia wanafuatwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kuhamia CCM.
Nimekuwa najiuliza sana na ninaomba tusaidiane majibu.
Kwanini hakuna wananchi wanaounga mkono juhudi hizo?
Je, wananchi hawayaoni anayofanya rais?

Maoni yangu mimi noti mpya tz:
Kama kuna sehem kitengo cha propaganda ccm kimefeli ni hapa... kwanini hawawahamishi na wananchi?
Mkuu acha kuongea ujinga, ukiona haungwi mkono ujue kuna tatizo, siku nyngne ukitaka kuandika uzi utumie akili sio makanyagio[emoji29]
 
Wana asili yao sifa ya mtanzania kamili haruhusu kununuliwa mfano mwalimu nyerere ila wahutu wanajuana.
Acha mbwembwe.
Tafsri ya mwananchi na mtanzania inajulikana.
Hata hao viongozi ni wannanchi.
 
Kuwa mwandishi halafu ushughulishi akili yako ni sawa na bure...hao madiwani na wabunge wanapoama ushawahi kuna kwenye box LA kura wanashindwa,wananchi wanamuunga mkono Rais Magufuli kupitia box LA kura.
box lipi lile lililoporwa na polisi kule kinondoni
 
Hili la wabunge kuhama na kuunga mkono ni biashara mpya Tanzania. Mtu hufanya biashara ilio na faida. Faida wanayoipata kijani ni kwamba kwa kununua wabunge au madiwani watauaminisha umma kuwa chama chao kinapendwa sana. Hii haiwezi kufanyika kwenye nchi ambazo kiwango elimu kiko juu. Alieplan hii kitu kakosea sana. Ili chama kipendwe timiza kile walichokutuma. Watu wanalia maisha magumu badala ya kutatua kero zao wewe unanunua wawakilishi. Hizo pesa za kununua si zingetumika kuboresha huduma za jamii kama maji, elimu, afya nk hapo si mngependwa zaidi?
 
Unadhani itahitajika bilion ngapi kwa kila Mtanzania?
 
Mkuu acha kuongea ujinga, ukiona haungwi mkono ujue kuna tatizo, siku nyngne ukitaka kuandika uzi utumie akili sio makanyagio[emoji29]
Mkuu naona wewe umefikiri kwa kutumia nguo ya ndani kuandika haya.
 
Hawa madiwani na wabunge wawe wanaongelea nini kitu walitaka kufanya na kwa kuwepo upinzani walishindwa.
 
Kuwa mwandishi halafu ushughulishi akili yako ni sawa na bure...hao madiwani na wabunge wanapoama ushawahi kuna kwenye box LA kura wanashindwa,wananchi wanamuunga mkono Rais Magufuli kupitia box LA kura.
Lini kura na wapi zilihesabiwa wakashinda?
 
Ukiona mtu anaandika "usikalili" tayari huna haja ya kupoteza muda wako kwake kwani haijifichi huyo ni level ipi.
Ushamba mzigo Mkuu...waliojifunza lugha ukubwani ndo wenye shida ya kuchanganya kiswahili na kiingereza pamoja,tunawajua nyinyi Kwa hisani ya Ras simba
 
Mkuu ni sawa na mtu mzma kujaribu kunya sebuleni wakati kuna choo alafu usubiri kuungwa mkono.
 
Saruji bei juu! pesa mingi tunachezea kwa kulipa kodi ili zitumike katika chaguzi ndogo.
Wanaohama wakiwa viongozi wahojiwe uraia!
 
Back
Top Bottom