Pole sana ukawa, je mmeshawachagua mawakala madhubuti maana hamuishi kulalama tutaibiwa tutaibiwa, kapigeni kura sio kujaza bendera na kua na watu wasiojiandisha, kumbuka usemi huu wingi sio hoja bado cku5 mtaitwa Ukiwa.
Ndio maana wanambwelambwela tu kwani mawakala hawawezi kuacha mpunga ikiwa mbowe mnyika tundulisu mdee wamechukua pesa hata ningekua mm siachi mbona wao wamechukua nakumsaliti Dr slaa? Ndio hawishiwi maneno Mara hili mara lile, Wataisoma namba Ccm mbele kwa mbele.
Nashangaa mnyika Lissu mbowe na mdee wapo kimya maskini hawana cha kuongea juu ya Lowasa kwani wao ndio walimwita fisadi papa na kujipatia umaarufu juu ya Lowasa leo ndio anataka kuwaongoza kweli mmekwisha, sasa mnatoa hutuba zenu kwa vizia.
Sasa mbona mna wasiwasi wa kuibiwa? Tafuteni mawakala mnao waamini ili wa kusimamieni kura zenu, naona mnajijua nyinyi watu dili ndio maana mnawaza kuibiwa, sisi hatuna shida tukimpa wakala wenu sh50,000tuanasaini.mbona viongozi wenu hakukataa pesa kwa Lowasa,mtaisoma namba ccm mbele kwa mbele.
Hamna shida najua mtapungua sana mwaka huu kwa ubishi mlio wengi ni miaka 14-25 haya ngoja tuone matokeo lkn nina hakika %100 ccm inashinda kwa kishindo,mm nitakua wa kwanza kupiga kura karma Mungu ataniweka salama baada ya hapo narudi nyumbani nitakucheki kwenye runinga siku hiyo ukilinda kura.
Naona tutabishana sana nitakutafuta tar26.utanipa majibu hatuwezi kuvunja usia wa Baba wa Taifa tutalaaniwa, sawa na nchi tutaingiza kwenye machafuko,hivyo basi tutekeleze usia.
Nikweli kabisa lkn mm nafikiri nawazo ya walio wengi wanampango wakuwafuata viongozi waliowapigia kampeni ifisini kwa kuomba msaada cause ndivyo wanavyowadanganya.
Sema kweli muogope Mungu, hao wanaondoka sio waungwana ni Mafisadi au wapiga Dili waacheni waende huko,naamini baada ya uchaguzi Chadema inafika mwisho sasa najiuliza watafanya kazi gani au watarudi ccm?
Mm nilikuambia hao wote ni wapiga dili wanamfuata kiongozi wao wa ufisadi haina shida cc tutabaki na wachache lkn wakiwa safi ccm ya Magufuri sio mchezo kama ww ni mpiga dili jiondoe mapema kwani Hapa ni Kazi Tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.