Ni mwaka wa viroja hasa

Ni mwaka wa viroja hasa

Hiyo style yao ina maanisha hapa mboko tu lazima tuchapwe mwaka huu.Na mtachapwa kweli kaeni mkao wa kusubiri njiti
 
Hiyo style yao ina maanisha hapa mboko tu lazima tuchapwe mwaka huu.Na mtachapwa kweli kaeni mkao wa kusubiri njiti

Baada ya uchaguzi tutatengeneza kitabu cha picha chenye viroja na vitimbi vya ccm
 
Siyo mwaka wa viroja. Haya ni matokeo ya kuruhusu wapumbavu kupata nafasi za juu katika uongozi wa jamii.
Hata kama mh. Magufuli (mgombea urais kupitia CCM) alipiga push up siku moja, haimaanishi wengine woote waige na kufanya hivyo kama nyumbu wa serengeti wakiwa kwenye migration!
Tunahitaji viongozi wanaoweza kutambua mambo ya msingi yanayofaa kuigwa!
 
attachment.php
 
Back
Top Bottom