Ni Saa 144 za Kifo cha CHADEMA

Ni Saa 144 za Kifo cha CHADEMA

CCM ilishakufa zamani na hilo Magufuli ana lifahamu ndio maana ana sema chagua Magufuli na siyo CCM,saa 144 zilizobaki ni za kuizika CCM marehemu na kumuua Magufuli.
 
Imebainika kuwa saa 144 zilizobakia CCM na Mgombea wake Dr Magufuli wamezidi kukubalika kwa wanainchi kutokana na sera zinazogusa wananchi wa kawaida.Wakati chama cha Chadema kimezidi kupoteza mwelekeo kwa jamii kutokana na kukumbatia mafisadi na sera zao za vurugu.Saa 144 ndizo zilizobakia kwa Chadema kuendelea kusikika katika ulimwengu wa siasa za Tanzania.


Wenzako wamesha liquidate home shopping we unapiga kelele huku na chadema

Wenzako wanapiga mapesa marefuu we unanengeneka huku na habari za chadema hahahha

Ulitaka kujua wingi Wa wajinga Tanzania ni idadi ya kura za ccm hao ndo mazombi wetu
 
Imebainika kuwa saa 144 zilizobakia CCM na Mgombea wake Dr Magufuli wamezidi kukubalika kwa wanainchi kutokana na sera zinazogusa wananchi wa kawaida.Wakati chama cha Chadema kimezidi kupoteza mwelekeo kwa jamii kutokana na kukumbatia mafisadi na sera zao za vurugu.Saa 144 ndizo zilizobakia kwa Chadema kuendelea kusikika katika ulimwengu wa siasa za Tanzania.

Sasa wewe usiyejitambua, ni nani anakumbatia mafisadi zaidi ya ccm:what: huko mnao 10 kati ya wale waliotajwa na dk.mihogo,acheni kutapatapa huu ni wakati wa kujiandaa kisaikolojia maana hamtaamini kama ukawa wanachukua nchi😀 piiiiipoooziiii....!!!!!
 
Sasa ni dhahiri ccm inaanguka
 
Imebainika kuwa saa 144 zilizobakia CCM na Mgombea wake Dr Magufuli wamezidi kukubalika kwa wanainchi kutokana na sera zinazogusa wananchi wa kawaida.Wakati chama cha Chadema kimezidi kupoteza mwelekeo kwa jamii kutokana na kukumbatia mafisadi na sera zao za vurugu.Saa 144 ndizo zilizobakia kwa Chadema kuendelea kusikika katika ulimwengu wa siasa za Tanzania.

Kwa waliosoma hesabu za probability, ni wakati wa kifo cha CHADEMA(0.5 =50%) na CCM(0.5=50%)
 
Imebainika kuwa saa 144 zilizobakia CCM na Mgombea wake Dr Magufuli wamezidi kukubalika kwa wanainchi kutokana na sera zinazogusa wananchi wa kawaida.Wakati chama cha Chadema kimezidi kupoteza mwelekeo kwa jamii kutokana na kukumbatia mafisadi na sera zao za vurugu.Saa 144 ndizo zilizobakia kwa Chadema kuendelea kusikika katika ulimwengu wa siasa za Tanzania.

Naona leo Lb7fc wamekuchagua kuwa kiranja wa zamu,jitahidi waweza kuambulia walau b3,maana nasikia hazina yenu imekauka kwa kukodi chopa mbovu na kumhonga dkt.Michembe na pumba za kulishia kuku.
 
Imebainika kuwa saa 144 zilizobakia CCM na Mgombea wake Dr Magufuli wamezidi kukubalika kwa wanainchi kutokana na sera zinazogusa wananchi wa kawaida.Wakati chama cha Chadema kimezidi kupoteza mwelekeo kwa jamii kutokana na kukumbatia mafisadi na sera zao za vurugu.Saa 144 ndizo zilizobakia kwa Chadema kuendelea kusikika katika ulimwengu wa siasa za Tanzania.

Zikiwa zimebaki siku chache sana kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na udiwani hali ya Kisiasa imefikia patamu sana.Bila kumumunya maneno naomba niseme hali ya Chama cha Mapinduzi ni dhoofu sana.Wananchi wamepania kutoa adhabu kali kwa CCM na wagombea wake wa Urais, Ubunge na Udiwani Nchi nzima. Hii ni kutokana na mambo 40 yafuatayo ambayo CCM na Serikali zake imeshindwa kuyatatua kwa muda wa miaka 54 iliyokuwepo madarakani;


1. Kushindwa kutimiza ahadi nyingi zilizotolewa wakati Benjamin Mkapa anaomba ridhaa na zile lukuki ambazo Jakaya Kikwete aliahidi kushindwa kabisa kuzitekeleza.
2. Huduma mbovu za afya (Hospitali hazina dawa,Utendaji mbovu na miundombinu hafifu)
3. Elimu duni katika shule za Serikali kutokana na ukosefu wa Vitabu,walimu,maabara,mabweni,viwanja vya michezo na miundombinu rafiki n.k
4. Watumishi wa Umma kutokupata maslahi yao kama mishahara kwa wakati,malipo ya likizo,usafiri,kujiendeleza n.k
5. Migogoro ya ardhi iliyoasisiwa na Viongozi walafi na wenye tamaa
6. Migogoro ya wakulima na wafugaji (Kiteto,Malinyi,Kongwa n.k)
7. Ushuru wa mazao kwa wakulima kuzidi kipimo kiasi cha kuwakatisha tamaa
8. Wavuvi kubanwa kwa matumizi ya nyavu zilizozuiliwa wakati wafanyabiashara wanaziuza bila tatizo lolote
9. Rushwa iliyokithiri kupitiliza (Imeathiri watu wa kipato cha chini kwa Kiasi kikubwa)
10. Ubovu wa barabara za kuunganisha Mikoa,Wilaya na Kata
11. Sheria kandamizi dhidi ya Wawekezaji wa ndani,wafanyabiashara na wajasiriamali,
12. Utesaji wa Wananchi (Operation Tokomeza)
13. Ukosefu wa ajira kwa vijana na wanawake
14. Kukosekana kwa mikopo nafuu kwa ajili ya kuwakwamua wanawake na vijana.
15. Ajira za upendeleo (BoT,TRA,Uhamiaji)
16. Mgao wa Umeme pamoja na kukosekana kwa nishati hii maeneo mengi nchini
17. Magonjwa ya mlipuko kama Kipindupindu
18. Ajira za watoto machimboni,biashara ndogondogo na Serikali haina hata mpango wa kuwaokoa,
19. Michango kandamizi na kodi mbalimbali
20. Wakulima kukopwa mazao yao waliyotumia jasho kubwa kuzalisha
21. Wakulima kukosa pembejeo na masoko kwa ajili ya bidhaa zao
22. Viongozi kutobiwa nje badala ya kuboresha Hospitali zetu
23. Viongozi kulipana mishahara mikubwa na posho lukuki ilhali walipa kodi maisha yao kuwa magumu.
24. Kufa kwa Viwanda ambavyo viliajiri watu wengi na kuzalisha bidhaa bora za Tanzania
25. Bidhaa zisizo na viwango kujazana Tanzania pasipo jitihada za kuzizuia
26. Nchi kugeukla kuwa ya kutumia bidhaa za nje kuliko za ndani
27. Siasa za Maji taka (Matusi,kejeli,vijembe badala ya kutoa hoja kwa wananchi)
28. Serikali kutokutoa sapoti kwa Viwanda vya ndani pamoja na wawekezaji Wazalendo
29. Mlolongo wa kodi na michango kwa wawekezaji wa ndani (Hudidimiza maendeleo yao)
30. Matumizi mabaya ya madaraka kwa Viongozi wa Umma na Wanasiasa
31. Uharibifu mkubwa wa Mazingira na Serikali kutokuchukua hatua stahiki
32. Mlolongo wa Taasisi zinazokusanya Mapato kwa wawekezaji wadogo kama TRA,OSHA,TCCIA,TBS,WCF,Industrial Licence,Busness Licence,CESS za Halmashauri za Vijiji na Wilaya,TANESCO,NEMC,Maji etc
33. Msongamano wa magari katika Majiji na miji na jitihada ndogo za kukabiliana na tatizo husika
34. Taifa kutokuwa na vipaumbele na utatuzi wa matatizo kuwa wa kuzima moto
35. Kauli chafu za wanasiasa na Viongozi waandamizi baada ya kuwa wamevimbiwa madaraka
36. Katiba isiyokidhi wakati na hali ya Kisiasa,Kiuchimi na Kiutamaduni.
37. Taifa kupoteza misingi ya umoja,mshikamano na kudharaulika duniani kote
38. Tatizo la madawa ya kulevya yanayoingizwa Nchini na Wafanyabiashara wanaofahamika
39. Matumizi ya vyombo vya dola kuwanyamazisha wapenda mabadiliko kwa manufaa ya CCM
40. CCM kuishiwa pumzi ikiwa katikati ya mlima na dereva kuonekana dhahiri akiwa amepoteza dira na mwelekeo asijue la kufanya!!!
 
ccm ni mda wa toba huenda mkasamehewa si muda wa propaganda kwenye majukaa ya kijamii!
 
Pole sana ukawa, je mmeshawachagua mawakala madhubuti maana hamuishi kulalama tutaibiwa tutaibiwa, kapigeni kura sio kujaza bendera na kua na watu wasiojiandisha, kumbuka usemi huu wingi sio hoja bado cku5 mtaitwa Ukiwa.
 
Imebainika kuwa saa 144 zilizobakia CCM na Mgombea wake Dr Magufuli wamezidi kukubalika kwa wanainchi kutokana na sera zinazogusa wananchi wa kawaida.Wakati chama cha Chadema kimezidi kupoteza mwelekeo kwa jamii kutokana na kukumbatia mafisadi na sera zao za vurugu.Saa 144 ndizo zilizobakia kwa Chadema kuendelea kusikika katika ulimwengu wa siasa za Tanzania.
Ushindwe na ulegee!!
 
Imebainika kuwa saa 144 zilizobakia CCM na Mgombea wake Dr Magufuli wamezidi kukubalika kwa wanainchi kutokana na sera zinazogusa wananchi wa kawaida.Wakati chama cha Chadema kimezidi kupoteza mwelekeo kwa jamii kutokana na kukumbatia mafisadi na sera zao za vurugu.Saa 144 ndizo zilizobakia kwa Chadema kuendelea kusikika katika ulimwengu wa siasa za Tanzania.

Mkuu umekunywa Petrol????
 
Imebainika kuwa saa 144 zilizobakia CCM na Mgombea wake Dr Magufuli wamezidi kukubalika kwa wanainchi kutokana na sera zinazogusa wananchi wa kawaida.Wakati chama cha Chadema kimezidi kupoteza mwelekeo kwa jamii kutokana na kukumbatia mafisadi na sera zao za vurugu.Saa 144 ndizo zilizobakia kwa Chadema kuendelea kusikika katika ulimwengu wa siasa za Tanzania.
Tangia sijui mwaka gani ule mnatabiri kifo cha CHADEMA lakini haifi, hamkomi tu?
Basi safari hii huo utabiri wa kufa utaigeukia ccm.
 
chadema hoi mwanza....... wamebaki na wenye boda boda ambao hawajamaliza mikopo!
 
Back
Top Bottom