Nilisikiaga wazee wakisema kuwa
"Sisi baba yetu mzaa babu alikua ni mmasai .....na alioa wanawake wengi na kila kaya ilikua ni wafugaji na wanamiliki aina Fulani ya mifugo, , ....'''
Hapana, sms ziko sahihi sema Iko hivi Unapomwagiza mtu akuwekee fedha kwa Hawa mawakala hasa upande wa bank mwambie ajaze namba yako muwekewaji Ili Either CRDB au hao NMB wakutumie hiyo text ya muamala moja kwa moja na so vingine
According to ufahamu wangu, Hawa Sundar / aborder walikua wanauza Sola @watt ( yaani watt moja) ni tsh 1,700/= hivyo mfano unataka watts 100 ✓ 170,000/= , watts 200 ✓ 340,000 Hadi 300,000/=
Ukija upande wa betri z drycell/za unfa (lead acid) zilikua zinauzwa @1N (N moja ) ni tsh 2,400/= mfano...
Kumekua na maswali mengi saana ya namna hii , unakuta mtu anakwambia labda ni mtaji kiasi Fulani nikafanye biashara Gani au Nina Elekea kuimaliza chuo/Niko likizo nikafanye kazi Gani huo muda ambao ntakua free!!!
Sasa Leo ngoja niseme kitu kimoja baishara ni kama Hobby ya mtu na mtu ( Ukifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.