Mjomba kweri kabisa watz wanafki. Wana ukabila , udini , ukanda ,kila mtu hanajua kumbe wanahungua Jua ,wavivu wa kufkili ,majungu , na hatupendani , Mjomba hivi kwann bahazi ya watz wa se nge walikuwa wanatucheka. Vyama pinzani vyote nakumbuka vili kaa kimya. Then leo hanatufundisha heti...
Sasa ya mebaki majungu .siasa majungu ,huswahilini tunapohishi majungu,kwenye michezo majungu ,makazini majungu .kila kona kila mahali majungu .kheeeee! Jaman watz tubadirike tufanyeni kazi. Tusiwe na akili kama za nyumbu kure serengeti .hapo majuzi wahindi wamerusha satellite anga za juuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.