Recent content by shabani hassani

  1. S

    Sitta alivyowadanganya watanzania

    sawa lakin neno wajinga futa katika akili yako hiliyo ganda kama mafuta ya baby care
  2. S

    Tatizo la Ajira (zenye tija) nchini: Ripoti ya Benki ya Dunia na Mikakati ya Serikali ya Tanzania

    Tukipata umeme wa huwakika Nahamini mabadiriko yatakuwepo
  3. S

    Mambo ya kishamba mwanaume wa sasa hutakiwi kuyafanya

    2 3 6. Sawa kabisa tujirekebishe zaidi na zaidi
  4. S

    Nadhani mliokuwa mnashangilia kipindi kile Kusini tulipopigwa na Serikali ya CCM sasa mtatuelewa

    Mjomba kweri kabisa watz wanafki. Wana ukabila , udini , ukanda ,kila mtu hanajua kumbe wanahungua Jua ,wavivu wa kufkili ,majungu , na hatupendani , Mjomba hivi kwann bahazi ya watz wa se nge walikuwa wanatucheka. Vyama pinzani vyote nakumbuka vili kaa kimya. Then leo hanatufundisha heti...
  5. S

    Nini hatma ya Lowassa akikosa urais 2015?

    Sasa ya mebaki majungu .siasa majungu ,huswahilini tunapohishi majungu,kwenye michezo majungu ,makazini majungu .kila kona kila mahali majungu .kheeeee! Jaman watz tubadirike tufanyeni kazi. Tusiwe na akili kama za nyumbu kure serengeti .hapo majuzi wahindi wamerusha satellite anga za juuu...
  6. S

    CHADEMA na Zitto watafuta suluhu

    zarahu hizo
  7. S

    Riwaya: Chokoraa

    Hunajuwaaaaaa !
  8. S

    Ni sahihi kwa Mbowe kulala Hotel ya Dola 700 kwa siku huku wafuasi wake wakishindia Mikate na Maji?

    Jamaan mbona mnaniweka njia panda nikihamini Chama kipi sasa )
  9. S

    Kwanini Nyerere hakumkubali Lowassa?

    Nzee hacha njaa. Hukishapewa senti ya pombe chafu hunahanza kuropoka hovyo.
Back
Top Bottom