asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Maulida komu kama alikuwa ukawa ilikuwaje akapiga kura?
Gazeti la Mawio ambalo mmiliki wake Saed Kubenea alienda Mahakama Kuu, Dar kutaka bunge Maalum livunjwe.
Sasa kwa mantiki hii, unategemea litaleta habari gani chana kuhusiana na Bunge Maalum.
Hoja kuhusu Katiba inayopendekezwa imeishafungwa kisheria kama Sheria ya Mabadiliko ya Katiba inavyotaka.
Hoja iliyopo mezani kwa sasa ni Mchakato wa kura ya maoni.
Taifa endelevu haliwezi kujengeka katika reactive politics kwa kutafuta sindano kwenye mchanga wa bahari.
Katika pitapita yangu nimekutana na tangazo hili , " KARIBU TANZANIA , NCHI AMBAYO DEREVA WA SERIKALI NI LAZIMA AWE NA ANGALAU ELIMU YA KIDATO CHA 4 BILA KUSAHAU CHETI CHA VETA , ILA KIONGOZI WA SERIKALI ANATAKIWA KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA TU ! " mwisho wa kunukuu .
Gazeti la Mawio ambalo mmiliki wake Saed Kubenea alienda Mahakama Kuu, Dar kutaka bunge Maalum livunjwe.
Sasa kwa mantiki hii, unategemea litaleta habari gani chana kuhusiana na Bunge Maalum.
Hoja kuhusu Katiba inayopendekezwa imeishafungwa kisheria kama Sheria ya Mabadiliko ya Katiba inavyotaka.
Hoja iliyopo mezani kwa sasa ni Mchakato wa kura ya maoni.
Taifa endelevu haliwezi kujengeka katika reactive politics kwa kutafuta sindano kwenye mchanga wa bahari.
sawa lakin neno wajinga futa katika akili yako hiliyo ganda kama mafuta ya baby careSijui una miaka mingapi, but nakuhakikishia, hii nchi itaendelea kuwa maskini hadi utakapokufa na hata vitukuu vyako, sababu, haioneshi kuwa na maendeleo yoyote katika Taifa. Mtaendelea kuwahudumia viongozi tu hadi watapokufa bila kuwahudumia wananchi. Huu ndo ukweli kaka. Tujifunzeni nchi zingine zinazoendelea kwa kasi, katiba zao zikoje? Unatunga katiba ya kumlinda kiongozi, unategemea nini, waTZ wengi wajinga sana.
mkuu ishia hapo hapo,mingine ni misukule haita kaa ielewe
Ni vyema pia kuangalia mchakato mzima ikiwa kweli umetupa kilicho bora. Ikiwa kulikuwa na ghiriba dhahiri tunapaswa kuzisahihisha. Nimeona kwenye taarifa ya habari usiku huu mjumbe kutoka zanzibar akikanusha kupiga kura lakini yuko kwenye orodha ya waliopiga kura. Je hili nalo liachwe?Gazeti la Mawio ambalo mmiliki wake Saed Kubenea alienda Mahakama Kuu, Dar kutaka bunge Maalum livunjwe.
Sasa kwa mantiki hii, unategemea litaleta habari gani chana kuhusiana na Bunge Maalum.
Hoja kuhusu Katiba inayopendekezwa imeishafungwa kisheria kama Sheria ya Mabadiliko ya Katiba inavyotaka.
Hoja iliyopo mezani kwa sasa ni Mchakato wa kura ya maoni.
Taifa endelevu haliwezi kujengeka katika reactive politics kwa kutafuta sindano kwenye mchanga wa bahari.
kama ukawa
Sijui una miaka mingapi, but nakuhakikishia, hii nchi itaendelea kuwa maskini hadi utakapokufa na hata vitukuu vyako, sababu, haioneshi kuwa na maendeleo yoyote katika Taifa. Mtaendelea kuwahudumia viongozi tu hadi watapokufa bila kuwahudumia wananchi. Huu ndo ukweli kaka. Tujifunzeni nchi zingine zinazoendelea kwa kasi, katiba zao zikoje? Unatunga katiba ya kumlinda kiongozi, unategemea nini, waTZ wengi wajinga sana.
Katika pitapita yangu nimekutana na tangazo hili , " KARIBU TANZANIA , NCHI AMBAYO DEREVA WA SERIKALI NI LAZIMA AWE NA ANGALAU ELIMU YA KIDATO CHA 4 BILA KUSAHAU CHETI CHA VETA , ILA KIONGOZI WA SERIKALI ANATAKIWA KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA TU ! " mwisho wa kunukuu .