Mbona tuadanganyana mchana kweupe hao ndo watu 750? Hivi hawa ndg.wa cdm wakisema ukweli huwa wanapungukiwa na damu kwa bahati sitaki kuamini huo uwongo na sintakaa niamini kamwe ukweli ni hiyo picha jamani nisaidieni hao watu ni wangapi?
Waziri wa tecnologia na mawasiliano na naibu wake yupo na wanayajua haya kisa10% alafu naibu waziri wa wizara husika anataka Urais kwa mtaji huu Urais asahau labda awe rais wa Bumbuli
Kwa Arusha lawama zote zimwendee Mbunge Lema kwa kushindwa kutekeleza ahadi alizoahidi kuzitekeleza hapo 2010 mfano machinga com, Hospitali ya kinamama na watt, Trekta, Gari la Wagonjwa na kusomesha watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kwa kushindwa kutekeleza ahadi hizi ni shida sana cdm...
Msiwadanganye wananchi uchaguzi wa vitongoji na mitaa ni tarehe 14/12/2014 na si vinginevyo kwa maana hiyo hakuna uchaguzi uliofanyika tuseme ukweli tuache mboyoyo
Sisya tambua huyo ni mwanaadam na kila nafsi itaonja mauti kikubwa tumuombe mungu amlaze mahala pema na familia yake iwe na nguvu ya kukabiliana na hili lililotokea Inshaallah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.