CCM yazidi kuangukia pua Arusha

CCM yazidi kuangukia pua Arusha

Mwenyekiti wa kitongoji? Kweli CHADEMA sasa imegota ukingoni!
 
Msiwadanganye wananchi uchaguzi wa vitongoji na mitaa ni tarehe 14/12/2014 na si vinginevyo kwa maana hiyo hakuna uchaguzi uliofanyika tuseme ukweli tuache mboyoyo
 
:llama::llama::llama:ni shidaaaaa, ni wakati wao wa kukimbia hyo mitaa,
 
Khaa!! Huko si ndiyo idadi kubwa ya vijana wameathirika na viroba?? Ngoja watibiwe wakipata nafuu ulevi ukiisha watajitambua tu

Yes, wewe umeathirika na VVU, zinduka!!
 
Hahahaaaaaa haki ya walahi arusha mmeamua,,, duuuuu!!! Kwa hiyo ccm imekuwa chama pinzani tena dhaifu kuliko zoooteeee.... Uwiiiiiiii RIP CCM
 
ccm iweke shoka,nyundo,jembe ilikujua halaka alafu chadema itumie mjumbe wake kuonyesha vidole viwili kama wanavyo wakilisha siku zote
 
Na Tukichukua Nchi Magamba Wajiandae Kisaikolojia
 
CCM mapoyoyo kweli walijua watachukua kitaa chetu oyeeeeeee......wamekaa tangu asubuhi wanasubir wafalme chadema tuchukue atrick yetu kama platnumz
 
Back
Top Bottom