Alisema hawezi kufunga mipaka ya nchi kwa sababu nchi zinazo tegemea bandari yetu zitapata shida sasa saizi nchi hizo hizo ndio zinatufungia mipaka mfano mzuri Zambia na Rwanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tunaokaa mwishoni mwa Tanzania tunduma tunajua sukari ukiletewa nyumban kg 1 ni sh 2000 ukifuata dukani sh1750 kwa kg1 mnaokaa makao makuu endeleeni kununua ndo bei yake hiyo msilalamike
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Hali ilinikuta mwezi wa pili nilivyorudi kutoka Zambia, mafua yalikuwa makali Sana Sina kumbukumbu Kama nimewahi kutana na mafua ya aina ile, joto Kali Sana, kifua kubana, maumivu kooni, misuli kuuma jumulisha na kikohozi nikitumia pain killer sisikii nafuu namshukuru mungu baada ya week...
Acha uongo kwacha 100 ya Zambia sawa na 15000 sh, haishuki hapo Jana tu nimeuza kwacha 600 nimepata sh 99000, japo inapanda na kushuka Kama dollar tu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.